Sijaitikiaπππ Ungeitikia tu salamu muhimu sana π ππ
Una ogopa Nini ππππSijaitikia
Wanaoniamkia ni watu wazima wenzanguUna ogopa Nini ππππ
Umenikumbusha miaka ya 2009 hii iliwahi kunitokea Kila napoenda nilikuwa naamkiwa sijui sababu nilikuwa naonekana mkubwa kumbe dogo tu basi mie nilikuwa naitikia tu ππππWanaoniamkia ni watu wazima wenzangu