😂 Lenie unataka kufungua biashara gani mwezi January huu na 300k nyingine! Parefuu jumla 700k akati mi nimepiga hesabu zangu za haraka 400k inatosha maana najua vinywaji na msosi ni 150k lodge safi kabisa 50k hiyo 200k nakuachia ya kunywa supu kesho jumapili.Uje basi na nyingine kama 300k kwa ajili ya emergency tukionana tu unipe niitunze
Si unajua mjini hapa mambo mengi na hela ndio kila kitu
We njoo nayo bana najua hizo hela ndogo ndogo hazikusumbui😂 Lenie unataka kufungua biashara gani mwezi January huu na 300k nyingine! Parefuu jumla 700k akati mi nimepiga hesabu zangu za haraka 400k inatosha maana najua vinywaji na msosi ni 150k lodge safi kabisa 50k hiyo 200k nakuachia ya kunywa supu kesho jumapili.
Na January hii unadaiwa shs ngapi nkulipie nusu my dear.Kha umejuaje🤣🤣🤣
Nusu, sio unilipie yote🥰Na January hii unadaiwa shs ngapi nkulipie nusu my dear.
Darassa ni one of the best, namkubali sanaVitu vitamu lazima vigharamiwe Lenie View attachment 2480832
Kwahyo who's your favorite artist?Darassa ni one of the best, namkubali sana
Sina mmoja ambaye ndio best of the bestKwahyo who's your favorite artist?