Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Mimi hata sielewi bobby ray alipatwa na nini mkuu, mpaka leo siamini, yani si ndio tulijua ndio the future andre 3000This album was a masterpiece. Sijui hata nini kilimkuta ndugu yetu B.O.B.!!
Hahah na anavyojua kuilembesha sauti sasa, anajitahidiVirgo anajua sana kuimba kwa kulalamika na kubembeleza[emoji28]
I had dream I was a king I woke up STILL A KING Eminem__lighters
Siasa zimemponza,album yake underground luxury hadi kesho nasikilizaMimi hata sielewi bobby ray alipatwa na nini mkuu, mpaka leo siamini, yani si ndio tulijua ndio the future andre 3000
Siasa zimemponza,album yake underground luxury hadi kesho nasikiliza