2008 hiyo kama sikosei....
Dah kumbe neyo ndio mwandishi dah2008 hiyo kama sikosei....
Ngoma kaandika Ne-yo.....
Alikuwa hot kila konaHiyo album hakuna wimbo wa kuskip kabisa...
Katy Perry naye alifanya maajabu kwenye Prism
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kuna version ya Ne-yo kabisa....Dah kumbe neyo ndio mwandishi dah
Hii ngoma haichoshi huwa naisikiliza sana.
Hii ngoma haikupewa heshima inayostahili