Kuna movie inaitwa hivi, jamaa linamtia huyu demu hadi sio poa
Hahaa ile hutakiwi angalia na watoto ni balaa.Kuna movie inaitwa hivi, jamaa linamtia huyu demu hadi sio poa
Bro kumbe unamkubali huyu mdada Maren Morris
Sawa ila tusi glorify gangster raappers wanaohimizza crime chicagoHuyu dgo duck ni mnyama sana humu kamuweka kaka'ake cole world shida tupu....hizi sio zile za kusifia ujinga, hapa wanakumbushwa wafanye mema sio kesi kila siku na madawa tu
Yah huwa namsikiliza sana..anajua!Bro kumbe unamkubali huyu mdada Maren Morris
Nina nyimbo zake zote . Huwa zinanikumbusha maisha yangu nilivokuwa Mwanza.Yah huwa namsikiliza sana..anajua!