Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Nways, sijui kama hii thread ipo mahali pake..
Nways, ishu ni hiviii, hawa jamaa wa scribd.com baada ya kuwa tumechangia documents zetu kwa muda sasa na kushare na wengine, sasa hivi naona wanaintroduce fee sijui nini..Ndio nimegundua leo, nilikuwa na search certain summary ya kitabu nikitaka kudownload naona naletewa window sijui nichague premium pass..this is bullsh!t
I regret kwanini nili-upload materials huku..hawa jamaa mabwege sana aisee.
Nways, ishu ni hiviii, hawa jamaa wa scribd.com baada ya kuwa tumechangia documents zetu kwa muda sasa na kushare na wengine, sasa hivi naona wanaintroduce fee sijui nini..Ndio nimegundua leo, nilikuwa na search certain summary ya kitabu nikitaka kudownload naona naletewa window sijui nichague premium pass..this is bullsh!t
I regret kwanini nili-upload materials huku..hawa jamaa mabwege sana aisee.