Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kila baada ya mechi ikiisha makocha wazawa wakiohojiwa huwezi kukosa kuyasikia haya mambo manne.
1. Kwanza kabisa tunamshukuru Mwenyezi Mungu.....
2. Mpira ni mchezo wa makosa, tumefanya makosa tumeadhibiwa..blah blah
3. Mpira una matokeo matatu...
4. Tunajiandaa kwa mechi ijayo...
1. Kwanza kabisa tunamshukuru Mwenyezi Mungu.....
2. Mpira ni mchezo wa makosa, tumefanya makosa tumeadhibiwa..blah blah
3. Mpira una matokeo matatu...
4. Tunajiandaa kwa mechi ijayo...