SD Bioline huruhusiwa kutumiwa kwa muda gani baada ya siku yake kuwa expired

SD Bioline huruhusiwa kutumiwa kwa muda gani baada ya siku yake kuwa expired

kadogo2

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
1,889
Reaction score
3,059
Hivi maji ya kupimia Ukimwi Kama yameandikwa expired 26/4/2024 ukatumia kupima mwezi huu 11 kipimo kikasoma negative kitakuwa kipo sahihi

Mara ya mwisho kucheck health status ni mwezi wa 4 mwaka huu

Ndio nimejipima Leo ila sasa nimesoma hiyo SD BIOLINE kumbe imesha expired tangu tarehe 26/4/2024

Sasa majibu niliopata hapo yatakuwa ya kweli au uongo [emoji41]
 
Hivi maji ya kupimia Ukimwi Kama yameandikwa expired 26/4/2024 ukatumia kupima mwezi huu 11 kipimo kikasoma negative kitakuwa kipo sahihi

Mara ya mwisho kucheck health status ni mwezi wa 4 mwaka huu

Ndio nimejipima Leo ila sasa nimesoma hiyo SD BIOLINE kumbe imesha expired tangu tarehe 26/4/2024

Sasa majibu niliopata hapo yatakuwa ya kweli au uongo [emoji41]
Ni Vizuri zaidi Kupima na Kipimo Kilichobora ili kupata Matokeo yaliyo Bora..
Ili kupeuka FNR (False negative Results) na FPR (False Positive Results)..
 
Hivi maji ya kupimia Ukimwi Kama yameandikwa expired 26/4/2024 ukatumia kupima mwezi huu 11 kipimo kikasoma negative kitakuwa kipo sahihi

Mara ya mwisho kucheck health status ni mwezi wa 4 mwaka huu

Ndio nimejipima Leo ila sasa nimesoma hiyo SD BIOLINE kumbe imesha expired tangu tarehe 26/4/2024

Sasa majibu niliopata hapo yatakuwa ya kweli au uongo [emoji41]
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Hivi maji ya kupimia Ukimwi Kama yameandikwa expired 26/4/2024 ukatumia kupima mwezi huu 11 kipimo kikasoma negative kitakuwa kipo sahihi

Mara ya mwisho kucheck health status ni mwezi wa 4 mwaka huu

Ndio nimejipima Leo ila sasa nimesoma hiyo SD BIOLINE kumbe imesha expired tangu tarehe 26/4/2024

Sasa majibu niliopata hapo yatakuwa ya kweli au uongo [emoji41]
Madhara ya wizara ya afya kuongozwa na mwl yanajitokeza kila mahali.
 
Sio kitu cha kuuliza humu hicho, kanunue bioline nyingine upime then relate majibu.
 
Ni Vizuri zaidi Kupima na Kipimo Kilichobora ili kupata Matokeo yaliyo Bora..
Ili kupeuka FNR (False negative Results) na FPR (False Positive Results)..

Asante nimeshapima tayari,, ila jitahidini muwe na namna nzuri ya kuwapa majibu ya vipimo watu wanaopima HIV mnaweza kutuua na pressure.. nendeni moja kwa moja kwenye majibu ndio murudi kutoa ushaurii…

Yaani mtu unapewa majibu ya vipimo Kama taarifa ya msiba
 
Back
Top Bottom