Sea food gani unaipenda?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Mi sea food sikubali kabisa,labda za majani ila sio hawa wadudu!
 
Miye nikipata Tasi nimemaliza Maneno,
Kule Mtwara kuna konokono flani hivi cku nikashawishiwa ninunue watamu ukiwakaanga loohh wana sukari sukari walinishinda.
 
Miye nikipata Tasi nimemaliza Maneno,
Kule Mtwara kuna konokono flani hivi cku nikashawishiwa ninunue watamu ukiwakaanga loohh wana sukari sukari walinishinda.
Pweza tuko pamoja
 
Sea foods; kamba kochi, lobster, ngisi, changu, tasi, kolekole, mlimba.....kuna mmoja nimesahau jina, ni kama mwenzie mlimba kwenye supu aiseee......iwe supu ya kienyeji, pita SOMANGA pale ufaidi hiyo supu
 
Prawns wadogo,calamari na wengine wanakujaga tu mixer kwny platter sijui majina,i love them with sour vegetable salad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…