Jailer JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 204 Reaction score 67 Jul 31, 2014 #1 Tafadhali anayeweza kunifahamisha mchanganyiko wa prawns,pweza, ngisi na kingfish inachanganywa na kuwa rojo kama ina utamu fulani wa sukari
Tafadhali anayeweza kunifahamisha mchanganyiko wa prawns,pweza, ngisi na kingfish inachanganywa na kuwa rojo kama ina utamu fulani wa sukari
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Aug 10, 2014 #2 Jailer unaweza pika hizo zote zikawa na coconut sauce wacha tuseme mchanganyiko wa seafood wa nazi..... Mahitaji Seafood hizo apo......unaweza ongeza na chaza pia Garlic Tangawizi Currypowder Pilipili manga Chumvi kiasi Hoho Kitunguu maji Limau Tui la nazi zito. Nyaya ya kopo Namna ya kutaarisha Chemsha mchanganyiko wa seafood zako (king fish mchemshe mbali mana atavurugika)....weka chumvi,garlic,tangawizi,pilipili manga na curry powder Ukitaka viwive upesi achia hizo seafood zichemke na maji yake yenyewe yakikaribia kukauka weka maji kdg kdg hadi kuwiva .. Zikiwiva weka hoho,karot na kitunguu maji na limau subiria wiviwe navyo.... Mimina tui zito na subiria ichemke dakika 5 then epua tayar kwa kuliwa... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Jailer unaweza pika hizo zote zikawa na coconut sauce wacha tuseme mchanganyiko wa seafood wa nazi..... Mahitaji Seafood hizo apo......unaweza ongeza na chaza pia Garlic Tangawizi Currypowder Pilipili manga Chumvi kiasi Hoho Kitunguu maji Limau Tui la nazi zito. Nyaya ya kopo Namna ya kutaarisha Chemsha mchanganyiko wa seafood zako (king fish mchemshe mbali mana atavurugika)....weka chumvi,garlic,tangawizi,pilipili manga na curry powder Ukitaka viwive upesi achia hizo seafood zichemke na maji yake yenyewe yakikaribia kukauka weka maji kdg kdg hadi kuwiva .. Zikiwiva weka hoho,karot na kitunguu maji na limau subiria wiviwe navyo.... Mimina tui zito na subiria ichemke dakika 5 then epua tayar kwa kuliwa...
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Aug 10, 2014 #3 Unaweza tumia maziwa mbadala wa nazi
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Aug 10, 2014 #4 Kuna ya sosi ya ukwaju kuna wengine wanaweka sugar lakini nzuri zaid ya chumvi