Sean 'Diddy' Combs kufikishwa Mahakamani leo kwa mara ya kwanza

Sean 'Diddy' Combs kufikishwa Mahakamani leo kwa mara ya kwanza

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rapa na Mfanyabiashara Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kuwasilishwa mbele ya jaji Arun Subramanian katika mahakama ya Manhattan, Alhamisi hii majira ya mchana, akitokea gereza la Brooklyn. Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Combs kukutana na jaji katika kesi inayomhusisha biashara ya ngono.
1728550010046.png
Katika kikao hicho, mchakato wa kusikiliza kesi utachukua nafasi na kusababisha kuweka tarehe ya mwisho kwa mawakili wa pande zote kuwasilisha hoja zao kuhusu mipaka ya kesi. Mawakili wa Combs wanapendekeza kuanza kesi hiyo mwezi Aprili au Mei, wakati waendesha mashtaka hawajaweka wazi tarehe yoyote ya kuanzia.

Soma, Pia:

=> Diddy aripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum kuepusha asijiue
=> Mahakama yamuamuru Sean ‘Diddy’ Combs kulipa Dola Milioni 100 kwa mwanaume aliyemshtaki kwa kumnyanyasa kingono
=> Sean "Diddy" Combs aondolewa kwenye uangalizi wa kujiua
=> Diddy anyimwa dhamana na Mahakama, alitoa ofa ya bilioni 135
 
Simba kashindwa kabisa kuhudhuria kabisa kwenye kesi yake hiyo aise, mbona walikuka bata pamoja lakini leo kamgeuka, ila jamaa kajipanga sana kama ni kumuweka ndani wanaweza kufanikiwa ila kumfilisi hawatoweza, jamaa anaakili sanaa.
 
Wamejipanga sana.. Watamla kichwa.. Ni ngumu kuchomoka
yeap , kama r. Kelly tu. Ila diddy nahisi kuna mstari mwekundu mahali kauvuka sasa kinamramba. Hizi kashfa za ngono huenda ni zuga tu. Maana kama ni uchafu wa kingono , mastaa wakubwa karibia wote duniani wanafanya na wala husikii wameshtakiwa. Ila huyu kuna namna tu nyuma ya pazia.
 
yeap , kama r. Kelly tu. Ila diddy nahisi kuna mstari mwekundu mahali kauvuka sasa kinamramba. Hizi kashfa za ngono huenda ni zuga tu. Maana kama ni uchafu wa kingono , mastaa wakubwa karibia wote duniani wanafanya na wala husikii wameshtakiwa. Ila huyu kuna namna tu nyuma ya pazia.
Ukute kampaka mafuta mtoto wa mtu mzito mwenye mamlaka nchini humo
 
Wamejipanga sana.. Watamla kichwa.. Ni ngumu kuchomoka
Sodomy ufirauni kwa wenzetu sio kosa

Kama kulikuwa na consent kusafirisha malaya sio kosa

Two consenting adults kufrna sio kona

Didi ana kosa moja kubwa kama alifra watoto....ie kina Justine Biber. Usher Raymond and the like wakiwa wadogo kama kuna ushahidi hapo hachomoki
 
Rapa na Mfanyabiashara Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kuwasilishwa mbele ya jaji Arun Subramanian katika mahakama ya Manhattan, Alhamisi hii majira ya mchana, akitokea gereza la Brooklyn. Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Combs kukutana na jaji katika kesi inayomhusisha biashara ya ngono.
Katika kikao hicho, mchakato wa kusikiliza kesi utachukua nafasi na kusababisha kuweka tarehe ya mwisho kwa mawakili wa pande zote kuwasilisha hoja zao kuhusu mipaka ya kesi. Mawakili wa Combs wanapendekeza kuanza kesi hiyo mwezi Aprili au Mei, wakati waendesha mashtaka hawajaweka wazi tarehe yoyote ya kuanzia.

Soma, Pia:

=> Diddy aripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum kuepusha asijiue
=> Mahakama yamuamuru Sean ‘Diddy’ Combs kulipa Dola Milioni 100 kwa mwanaume aliyemshtaki kwa kumnyanyasa kingono
=> Sean "Diddy" Combs aondolewa kwenye uangalizi wa kujiua
=> Diddy anyimwa dhamana na Mahakama, alitoa ofa ya bilioni 135

Huyu akisalimika ana bahati sana. Jeffrey Epstein aliishia kubaya sababu alikuwa amebeba siri za wakubwa wengi. Kuna baadhi ya majina yapo pia kwa Mzee P.Diddy.
Mfano, Ron Burkle....sidhani kama watamuacha salama. Ibada za kujitoa kwa shetani huwa zinaishia kwa style ngumu ngumu sana.
Na huyu jamaa akiona watoto wadogo anatemeka kama amepandisha mashetani. Dunia hii ngumu sana.

Angalia rafiki yake JLO na sex ya mtoto wake.... kazi ipo

 
yeap , kama r. Kelly tu. Ila diddy nahisi kuna mstari mwekundu mahali kauvuka sasa kinamramba. Hizi kashfa za ngono huenda ni zuga tu. Maana kama ni uchafu wa kingono , mastaa wakubwa karibia wote duniani wanafanya na wala husikii wameshtakiwa. Ila huyu kuna namna tu nyuma ya pazia.
Ndio namna wanavyowamaliza watu weusi wakishachoka kuwatumia
 
Rapa na Mfanyabiashara Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kuwasilishwa mbele ya jaji Arun Subramanian katika mahakama ya Manhattan, Alhamisi hii majira ya mchana, akitokea gereza la Brooklyn. Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Combs kukutana na jaji katika kesi inayomhusisha biashara ya ngono.
Katika kikao hicho, mchakato wa kusikiliza kesi utachukua nafasi na kusababisha kuweka tarehe ya mwisho kwa mawakili wa pande zote kuwasilisha hoja zao kuhusu mipaka ya kesi. Mawakili wa Combs wanapendekeza kuanza kesi hiyo mwezi Aprili au Mei, wakati waendesha mashtaka hawajaweka wazi tarehe yoyote ya kuanzia.

Soma, Pia:

=> Diddy aripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum kuepusha asijiue
=> Mahakama yamuamuru Sean ‘Diddy’ Combs kulipa Dola Milioni 100 kwa mwanaume aliyemshtaki kwa kumnyanyasa kingono
=> Sean "Diddy" Combs aondolewa kwenye uangalizi wa kujiua
=> Diddy anyimwa dhamana na Mahakama, alitoa ofa ya bilioni 135
Haki ya Diamond na wenzake aliofanyiwa nao unyanasaji lazima ipatikane
 
Back
Top Bottom