Fanya yafuatayo:
1.Fika ofisi ya Kata au manispaa,kwa kawaida wanadisplay matokeo ya mitihani ya shule zote zilizosajiliwa kwenye kata husika au wilaya/manispaa.
Waandikishe kwenye zile zilizoongoza.
2.Kama unauwezo ifikapo level ya sekondari,then peleka seminari kwa o-level tu.
3.Akifanikiwa kufika form 4 maana yake ni kuwa uwezekano wa kufaulu kwenda form 6 ni mkubwa,since amesoma seminari.
4.Then mwache aendelee sekondari ya serikali asibaki seminari.Hii itasaidia kwenye maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwani mikopo inapotolewa wanaangalia historia ya shule alizosoma mwombaji.Kama alisoma shule za kulipia, it implies kuwa mzazi/mlezi anauwezo hence mkopo unakuwa mgumu kupatikana.
5.Mwisho ndugu yangu,shule za kawaida ni nzuri at least NI WAKWELIi.Mwanao akirudi nyumbani na sifuri lake ,wanamwongezea na masikio.Akirudi na 70% or 90% basi ni 70% or 90% za KWELI KWELI,NADHANI UNANIELEWA.
Seminari ni nzuri kwa malezi ya kiimani na vilevile wanaenda kwa WASTANI ,upo below huendi form 2 kama upo from 1.
Kwa level ya msingi kusoma ndani ya kata,kunasaidia kupambana na shida wanazopata watoto wetu za usafiri.