Basil mbakile ?? Hili jina sio geni kwenye hii tasnia hebu tupe profile yakeSebastian Mwaikambo huyu jamaa alikimudu sana kipindi cha East African Drive naona sasa kaacha ile kazi maana ni kipindi sasa toka hafanyi hyo kazi.
Basil Mbakile ndio anaendesha kile kipindi sasa nae si mbaya anakimudu lakini bado tunamkumbuka Seba,huko aliko ajue Basil anafanya kama yeye..Basil mze wa One for the road
Basil mbakile ?? Hili jina sio geni kwenye hii tasnia hebu tupe profile yake
Yani mi hata frequency zingine sizijuagi....choice ndio mwisho wa burudani
ina sisimuaje HOE?
Nitafikisha malalamiko yako JERRY, msalimie Tom
Yule anaekuoneaga sanaSawa mkuu, ila huyo tom ni nani?
Jamaa kumbe yuko Choice fm kwa sasa nimemsikia leo mchana huu!
Yule anaekuoneaga sana
Ila nawapenda sana Tom & Jerry
Jamaa kumbe yuko Choice fm kwa sasa nimemsikia leo mchana huu!
Hisia zangu zilikuwa sahihi, nilijua tu choice watakuwa wamemchukua baada ya chriss kusepayeah nimemsikia pia