Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHUO chao hichoMi nataka kujuwa huyu Dogo ana mahusiano gani na hicho chuo...
View attachment 3158316
Aisee!!CHUO chao hicho
wahiyo mama yake alizalishwa na Lutheran church?CHUO chao hicho
Chuo cha dini ww. Huyo sebastia kolowa alikuaga askofu wa kkkt wa pande za huko lushoto. Alipendwa sana na watu ndio maana kikapewa jina lakeCHUO chao hicho
Huyo ni mjukuu wa Askofu Sebastian Kolowa , aliyekuwa mkuu wa kanisa la KKKT.Mi nataka kujuwa huyu Dogo ana mahusiano gani na hicho chuo...
View attachment 3158316
Ok!Huyo ni mjukuu wa Askofu Sebastian Kolowa , aliyekuwa mkuu wa kanisa la KKKT.
Ohoo!👍Chuo cha dini ww. Huyo sebastia kolowa alikuaga askofu wa kkkt wa pande za huko lushoto. Alipendwa sana na watu ndio maana kikapewa jina lake
Kimepata ithibati lakiniKila siku namwambia mwanangu apige kitabu kweli kweli. Masuala ya kumaliza alaf unaanza kutafutiza vyuo sitaki aisee. Soma, faulu vzr chagua chuo unachopenda mwenyewe, sasa Sebastian Kulowa et nacho ni chuo
Hazihusiani Mkuu na maada husika hichi chuo pekee hapa TANZANIA ndiyo ilikuwa kinatoa kozi, Bachelor in mental health sciences , ndiyo maana nilikuwa nataka kufuatilia kama bado inachukua Wanafunzi, maana kwenye guide book ya TCU haipo kabisa siku hiziKila siku namwambia mwanangu apige kitabu kweli kweli. Masuala ya kumaliza alaf unaanza kutafutiza vyuo sitaki aisee. Soma, faulu vzr chagua chuo unachopenda mwenyewe, sasa Sebastian Kulowa et nacho ni chuo