Yes!! Huyo ndiye ninayemjua!!Daktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
hahahhahahaha umeniwah mkuuHii ulivyojibu, ni kama uliwahi kuwa mtumishi wake, then hajakulipa miezi minne.
Hahahaha
Mume wa mtu ni mzur jaman uwiiiii cheki alivyopendeza mweeeView attachment 668315
Yes!! Huyo ndiye ninayemjua!!
Kama kweli kawazurumu wenzake ajiandae kisaikolojia na anguko La kutisha.Daktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
Unajuaje pengine ni Kati ya Hao waliozurumiwa Id fake zina mambo.Hii ulivyojibu, ni kama uliwahi kuwa mtumishi wake, then hajakulipa miezi minne.
Hahahaha
LolUnajua pengine ni Kati ya Hao waliozurumiwa Id fake zina mambo.
Sio mkurya mkuu acha urongo jamaa anatokea ukerewe ni mjitaNi dr sebastian ndege,ni mkurya,ana radio mwanza inaitwa jembe ni jembe,alikua na birthday juzi km sikosei.
Hiv huyu jamaa kwanini radio yake hata sengelema tu haifikiDaktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
We jamaa wewe umenifanya nicheke alone serious! ongeza mshamba flani hivi amazingMshamba flani hivi wa kanda ya ziwa
Usiombe uchambuliwe humu! Soma wengine tu ...Ukitaka kujua mambo yako ya siri yako wazi mtu mmoja aweke picha yako halisi na jina then aombe wasifu wako him JF Umeisha
Mbona rahisi kukulikana hasa ukipata kuwa famousEBANA EEE. NIME GUNDUA KUNA WATU WANA WEZA KUKUJUA ZAIDI YA UNAVYO JIJUA WEWE... HAYA MASWALA YA NDANI YA MTU HUWA MNA YAJUAJE WADAU?? ETI MTU YUKO makambako Iringa. Lakin ana uwezo wakukupa CV ya mtu flani alie Mwanza! Balaa sana " I know you than you know you" balaa sana