Sebastiani Ndege ni Jembe


Hoteli ipi pale mwanza na iko location gani..? utakuwa unahadithiwa
 
Baba yake alikuwa ni mtu Wa wadhifa gani?
 
Mzee wacha ramli chonganishi
 
Unamaanisha baadhi ya picha ni photoshop au?
 
Mambo ya ajabu haya. Watoto wa kiume wanapoteza muda kumuongelea mwanaume mwingine aliyewazidi kimaisha. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Tabia za kifala sana hiz. Hata kama mtu ana show off kwani alikuja kukuomba hela? Jadilini vitu vya maendeleo tulisaidie taifa letu kupunguza umaskini
 
Km alidhulumu basi hafiki popote,ni suala ka muda tu
 
Kweli chief ...tuache hizi mambo huko mitandao mingine ...badala ya kutafuta mazuri yake ili uongeze maarifa tunapekenyua udwazi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…