Usikate tamaa, alafu c unajua ndugu set Hawa wakiwa ofisin ski za weekend wanawah kufunga lbd , so inawezekana wamestop kwa Leo walipoishia mpk j3Mkuu kwako lilikaa mda mchache kwangu Lina masaa sasa ila acha niamini nisikate tamaa
SawaUsikate tamaa, alafu c unajua ndugu set Hawa wakiwa ofisin ski za weekend wanawah kufunga lbd , so inawezekana wamestop kwa Leo walipoishia mpk j3
Ondoa ofu kijana mimi mwaka jana nilikosa mkopo adi nikaenda chuo sijapata ila namshkuru Mungu niko chuo niktembelea SPA yngu nikakuta walinipa pia. So usiwaze sana we tembelea account yko nakuhakkishia utapataWalitangaza wapi 🥲 sitaki kuamini nimekosa tena jamani
Asantee sanaOndoa ofu kijana mimi mwaka jana nilikosa mkopo adi nikaenda chuo sijapata ila namshkuru Mungu niko chuo niktembelea SPA yngu nikakuta walinipa pia. So usiwaze sana we tembelea account yko nakuhakkishia utapata
Ili kujua umepata ukilog in unatakiwa uende wapi?Ondoa ofu kijana mimi mwaka jana nilikosa mkopo adi nikaenda chuo sijapata ila namshkuru Mungu niko chuo niktembelea SPA yngu nikakuta walinipa pia. So usiwaze sana we tembelea account yko nakuhakkishia utapata
Umetuma nn hakionekaniAisee! Ni shidaView attachment 2797060
Nkutumie information za mdogo angu umuangalizie yup kijijini
Naomb nkutumie inf za dog umuangalizieNimeamgalia imebadilika lkn SIPA bado
.Kwa sasa mm nimeamua kukaa kimyaa na kuendelea kusubiri umri nikiopangiwa kuishi hapa duniani kama Biblia inavyosema miaka 70 au zaidi,nikiutazamia ulimwengu udumuo,kwa wale waliopata nawatakia kila la kheri huko chuoni waendako,wakifanikiwa wasitusahau kutuungisha uku mitaani sisi watoto wa masikini pale tutakapokuwa tumepambana na kuanzisha vimiladi,Tunamshukuru MUNGU kwa pale tulipofikia[emoji120]
Mdogo wangu na yeye yupo hivi... sijui kama atapata hiyo
SIPA ni nn?Nimeamgalia imebadilika lkn SIPA bado
Ingia kwenye beneficiaryHii imekaaje wadau... na ac bado haijabadilika chochoteView attachment 2807329
Ndio wapi huko?