mucram
Member
- Sep 23, 2014
- 71
- 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii hapa pdf format wanajamii
kozi zingine atuzioni na majina yetu pia ayapo kwenye list ya second batch lakini list ya tcu tupo tumechaguliwa udom sasa hapo inakuwaje msaada wenu wadau mnaoelewa ili swala.
Hata mie hivyo hivyo,msaada wa haraka plz
Tuko wengi - kozi nyingine hazionekani.
Hata mie hivyo hivyo,msaada wa haraka plz
mi nafikili as longer as tumeshakuwa ktk admission result selection 2014/2015 na tumepangiwa chuo sidhani kama ninuhimu kuwa kwenye list wakati tumekuwa institution selected nikufukuzia admission letter tu au wadau mna maoni gani kuhusu mawazo yangu naomba idea zenu pia maana aya mambo sometimes ni stress tupu...
thanxs kaka
hata mie wakuu jina langu silion nilitoa hayo majina ili wenzangu waone n pia naona haina jins ya kusumbuka cz kila mtu anajua alipochaguliwa so tusubiri admission letter saa 16
aina sheeda wakuu tusubili admission letter watajuana wenyewe
kama chuo hakikutambuii na wao ndio wanaotoa admission, je watatoaje jina ambalo halipo kwnye list/mfumo wao, ufafanuzi tafadhali!!!