I Israel masawe Senior Member Joined Oct 17, 2012 Posts 143 Reaction score 57 Oct 20, 2012 #1 jee kwa mtu ambaye tayari ni mfanyakazi serikalini anapomaliza kujiendeleza akiomba kazi tena serikalini atapata kama new post?
jee kwa mtu ambaye tayari ni mfanyakazi serikalini anapomaliza kujiendeleza akiomba kazi tena serikalini atapata kama new post?
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Oct 20, 2012 #2 Ndiyo.Unajua kuna nafasi nyingine unaambiwa pitisha barua ya maombi kwa mkuu idara. Wengine wakuu wa idara wanoko sana.
Ndiyo.Unajua kuna nafasi nyingine unaambiwa pitisha barua ya maombi kwa mkuu idara. Wengine wakuu wa idara wanoko sana.
I Israel masawe Senior Member Joined Oct 17, 2012 Posts 143 Reaction score 57 Oct 20, 2012 Thread starter #3 oky yuko broo kamaliza bachelor ya elimu na alikuwa na cheti. Amejiendeleza kwa mfumo wa masafa yaani open. Sasa idara haija msaidia kitu. Ndo sasa anataka kuomba tena apangiwe sehemu nyingine anayo taka
oky yuko broo kamaliza bachelor ya elimu na alikuwa na cheti. Amejiendeleza kwa mfumo wa masafa yaani open. Sasa idara haija msaidia kitu. Ndo sasa anataka kuomba tena apangiwe sehemu nyingine anayo taka
I Israel masawe Senior Member Joined Oct 17, 2012 Posts 143 Reaction score 57 Oct 20, 2012 Thread starter #5 nash koba said: msaidie Click to expand... Nonsence