poleni sana na majukumu wanajamii, wale mnaoanza weekend leo hongereni sana
kutokana na stress nyingi zinazoniandama katika dunia hii, mimi natafuta (secret lover) mpenzi wa kuchati nae tu tafadhali naomba nielweke!
umri wowote ilimradi asiwe chini ya 18
awe anajua kuchat vizuri na yuko very sharp
pia awe anajua mapenzi maana most of the time we shall be talking about love
awe single tafadhali
la mwisho awe mrembo :A S-rose:
PM au email ppisces26@ymail.com
naomba kuwasilisha
poleni sana na majukumu wanajamii, wale mnaoanza weekend leo hongereni sana
kutokana na stress nyingi zinazoniandama katika dunia hii, mimi natafuta (secret lover) mpenzi wa kuchati nae tu tafadhali naomba nielweke!
umri wowote ilimradi asiwe chini ya 18
awe anajua kuchat vizuri na yuko very sharp
pia awe anajua mapenzi maana most of the time we shall be talking about love
awe single tafadhali
la mwisho awe mrembo :A S-rose:
PM au email ppisces26@ymail.com
naomba kuwasilisha
Weekend imeanza Alhamisi ? halafu tunasema hatuendelei ? sasa kama kuchat tu mbona masharti mengi secret,very sharp,mrembo anyway good luck.
Wewe una lako jambo
haha kwani mrembo ni matusi? mwanamke yoyote ni mrembo tu jamani
Hahaha! yaani unampeleka swala kwa simba mwenyewe ?mmmh ok nadhani wamekupata and wata do the neadfull,sasa umesema wa kuchat tu,urembo wa nn hapo?alafu vipi kuhusu vocha utakuwa unaprovide vocha na topic ya kuchat each day?nina mdogo wangu wa 18yrs she is good in chatting lkn sitaki gharama ya kununua vocha.
haha kwani mrembo ni matusi? mwanamke yoyote ni mrembo tu jamani
mmmh ok nadhani wamekupata and wata do the neadfull,sasa umesema wa kuchat tu,urembo wa nn hapo?alafu vipi kuhusu vocha utakuwa unaprovide vocha na topic ya kuchat each day?nina mdogo wangu wa 18yrs she is good in chatting lkn sitaki gharama ya kununua vocha.
Wewe wa kike kiume?...................................Uko tayari kununua Simu?, Laptop na moderm kwa ajili ya kuchat?
pia allowance kwa muda utakao tumika?
Ungekuwa wazi tu kwa kusema unataka msichana mrembo wa kuchat nae nadhani usingepata maswali mengi kama uyapatayo sasa,hata hivyo bado unatia shaka kutokana na vigezo ulivyoweka kutoendana na hali uitakayo,kuwa wazi na utasaidiwa ukitakacho.poleni sana na majukumu wanajamii, wale mnaoanza weekend leo hongereni sana
kutokana na stress nyingi zinazoniandama katika dunia hii, mimi natafuta (secret lover) mpenzi wa kuchati nae tu tafadhali naomba nielweke!
umri wowote ilimradi asiwe chini ya 18
awe anajua kuchat vizuri na yuko very sharp
pia awe anajua mapenzi maana most of the time we shall be talking about love
awe single tafadhali
la mwisho awe mrembo :A S-rose:
PM au email ppisces26@ymail.com
naomba kuwasilisha
asanteni mliojitokeza..nawatakia siku njema