Secret code, secret task

Ni maslahi binafsi kwanza.

Taifa litajijua mbeleni.
Watoto wanasukuma gari kubwa kubwa ambazo hata maboss wa kampuni kubwa hawana.
Tunajua mnawezachukua tu lakini oneni hata haya kidogo basi.
 
Hizi code kipind hiki Cha msiba mnazua taharuki wakuu[emoji848]
 
Heshima yako kiongozi, wahenga tumekusoma na tunalitafakari hili, maombi yetu ni katika yote maslahi ya wengi azidi kulindwa... Ila ikikupendeza tufungulie code kidogo kidogo maana tusije ingia chaka kwa tafsiri potofu🙏🙏
 
Kwenye hizo code,

nmeona moja inahusu wizara ya fedha[emoji4]
Nyingine inahusu wizara ya ardhi[emoji1]

Ngoja niendlee kuzipekua Tena
 
Hizo ni codes lazima zifunguliwe. Ila lazima uwe na akili kubwa sana sio kilaza. Kiufupi hizo code unaweza andika kitabu ukitafasiri kila moja. Swali ni moja je zina ukweli ?
tusaidie mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…