SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
😊 Haya bhana -- -.-. -.-. --- .-. -..Unataka thread iwe na vi-subfolders vingi kwa ku-post na ku-reply wewe mwenyewe 😂😂😂😂
-.-- --- ..- / -... . - - . .-. / --.. .. .--. / .. - / -- -.-- / -.. . .- .-.Keep it for yourself then. Stupid
(You bemr zip it my dear).? Mkuu jaribu kuweka space tuelewe ulichoandika.-.-- --- ..- / -... . - - . .-. / --.. .. .--. / .. - / -- -.-- / -.. . .- .-.
Okayhata mimi naweza andika tu nikasema ni code.
KZAK5400
Heshima yako kiongozi, wahenga tumekusoma na tunalitafakari hili, maombi yetu ni katika yote maslahi ya wengi azidi kulindwa... Ila ikikupendeza tufungulie code kidogo kidogo maana tusije ingia chaka kwa tafsiri potofu🙏🙏Sometimes ni ngumu kuchora mstari katika matukio kwamba nguvu hii inaishia hapa na nguvu hii inaanzia hapa hadi pale ila matokeo ya kila kitu huwa yanakuwa wazi na kuacha kila mtu akiwaza na kujipa majibu karidi ya tathmini binafsi.
Ni vema kila jambo linalofanyika liwe kwa maslahi kwa taifa. Ni wazi nchi karibia zote zimejengwa kwa nguvu, jasho, damu na sadaka na hakuna kinachofanyika kisiwe na sababu. Mungu yupo na watu pia wapo. Popote mlipo mkalitizame hili maana Tanzania ni yetu sote na maslahi ya wachache yasiamue hatma ya wengi.
1. CK515 🔥
2. CJMW🔥
3. CMLWF🔥
4. CNPWH🔥
5. CRKW🔥
6. CRSRT20🔥
Morse code.Nimetoka kapa
tusaidie mkuuHizo ni codes lazima zifunguliwe. Ila lazima uwe na akili kubwa sana sio kilaza. Kiufupi hizo code unaweza andika kitabu ukitafasiri kila moja. Swali ni moja je zina ukweli ?