Secretary Anahitajika

Secretary Anahitajika

masalapa

Senior Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
138
Reaction score
67
Sifa za Muombaji:
  1. Awe na elimu angalau ya Kidato cha IV
  2. Awe na Cheti kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
  3. Ujuzi katika kutumia Microsoft Applications
  4. Awe na umri kati ya miaka 18 - 25
  5. Awe tayari kufanya kazi katika Mkoa wowote ule atakaopangiwa majukumu
  6. Mshahara utategemea na sifa za Muombaji
Sifa za Kampuni:
  1. Ni Kampuni binafsi inayojishughulisha na Uagizaji na Usambazaji wa Vifaa vya Ujenzi
  2. Ina matawi katika Mikoa ya Dsm, Mwanza, Dodoma na Mbeya
  3. Kampuni inafuata Taratibu zote za Ajira kwa mujibu wa Sheria za Nchi
  4. Kampuni inakua kwa haraka na ndio sababu kumetokea na uhitaji wa rasilimali watu
Kwa yeyote aliye na sifa na utayari wa kujiunga na Kampuni hiyo anakaribishwa kwa mawasiliano zaidi.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24 Februari, 2023
 
Sifa za Muombaji:
  1. Awe na elimu angalau ya Kidato cha IV
  2. Awe na Cheti kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
  3. Ujuzi katika kutumia Microsoft Applications
  4. Awe na umri kati ya miaka 18 - 25
  5. Awe tayari kufanya kazi katika Mkoa wowote ule atakaopangiwa majukumu
  6. Mshahara utategemea na sifa za Muombaji
Sifa za Kampuni:
  1. Ni Kampuni binafsi inayojishughulisha na Uagizaji na Usambazaji wa Vifaa vya Ujenzi
  2. Ina matawi katika Mikoa ya Dsm, Mwanza, Dodoma na Mbeya
  3. Kampuni inafuata Taratibu zote za Ajira kwa mujibu wa Sheria za Nchi
  4. Kampuni inakua kwa haraka na ndio sababu kumetokea na uhitaji wa rasilimali watu
Kwa yeyote aliye na sifa na utayari wa kujiunga na Kampuni hiyo anakaribishwa kwa mawasiliano zaidi.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24 Februari, 2023
Ndugu waeleze vijana .
Uhitaji uko katika mikoa ipi ? Kati ya mikoa tajwa .

Je jinsia zote ?
Ikibidi pia waeleze na masilahi yao .
 
je kama mtu anaperuzi jf bila ya kua mwanachama na yupo interested atakutaftaje pm
 
Sifa za Muombaji:
  1. Awe na elimu angalau ya Kidato cha IV
  2. Awe na Cheti kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
  3. Ujuzi katika kutumia Microsoft Applications
  4. Awe na umri kati ya miaka 18 - 25
  5. Awe tayari kufanya kazi katika Mkoa wowote ule atakaopangiwa majukumu
  6. Mshahara utategemea na sifa za Muombaji
Sifa za Kampuni:
  1. Ni Kampuni binafsi inayojishughulisha na Uagizaji na Usambazaji wa Vifaa vya Ujenzi
  2. Ina matawi katika Mikoa ya Dsm, Mwanza, Dodoma na Mbeya
  3. Kampuni inafuata Taratibu zote za Ajira kwa mujibu wa Sheria za Nchi
  4. Kampuni inakua kwa haraka na ndio sababu kumetokea na uhitaji wa rasilimali watu
Kwa yeyote aliye na sifa na utayari wa kujiunga na Kampuni hiyo anakaribishwa kwa mawasiliano zaidi.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24 Februari, 2023
Mkuu masalapa, je ni lazima muhusika awe na cheti cha maswala ya secretarial ? Akiwa na degree vipi ?
 
Ndugu waeleze vijana .
Uhitaji uko katika mikoa ipi ? Kati ya mikoa tajwa .

Je jinsia zote ?
Ikibidi pia waeleze na masilahi yao .
Ndio masalapa. Ni vyema utaje jinsia maana vijana wanaweza kuja hadi wa kiume kumbe unataka wa kikz
 
Kiukweli naumia sana kila nionapo haya matangazo maana waletaji sijui uwa sio wahusika maana wanaandika kama wanakimbizwa.

Kiasi kuwa nawaonea huruma vijana kazi hawana na bado mtu anawatolea tangazo lenye utata .

Sasa si bora msiwatangazie maana hata mkiulizwa maswali mnajibu kama vile ndiyo maboss wenyewe kumbe na ninyi ni watumwa tu wa maboss wenu.

Badilikeni watanga ajira uchwara
 
Sifa za Muombaji:
  1. Awe na elimu angalau ya Kidato cha IV
  2. Awe na Cheti kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
  3. Ujuzi katika kutumia Microsoft Applications
  4. Awe na umri kati ya miaka 18 - 25
  5. Awe tayari kufanya kazi katika Mkoa wowote ule atakaopangiwa majukumu
  6. Mshahara utategemea na sifa za Muombaji
Sifa za Kampuni:
  1. Ni Kampuni binafsi inayojishughulisha na Uagizaji na Usambazaji wa Vifaa vya Ujenzi
  2. Ina matawi katika Mikoa ya Dsm, Mwanza, Dodoma na Mbeya
  3. Kampuni inafuata Taratibu zote za Ajira kwa mujibu wa Sheria za Nchi
  4. Kampuni inakua kwa haraka na ndio sababu kumetokea na uhitaji wa rasilimali watu
Kwa yeyote aliye na sifa na utayari wa kujiunga na Kampuni hiyo anakaribishwa kwa mawasiliano zaidi.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24 Februari, 2023
Hujaeka email au mawasiliano ya namna ya kutuma izo cv
 
Kwa hapa hata kama ni utapeli sio utapeli kampuni imeshidwa kutupatia details zote zinazohitajika.

Jina la kampuni hakuna.
namba ya mawasiliano hakuna.
email address hakuna.
Sasa munataka waru wajr wadanye kazi at least mutupe jina la kampuni tuangalie google kama ipo au tuulize watu wetu wanaofahamu makampuni hayo.
na hujasema inajishughulisha na nini.
Bora musiwe munatutangazia tu.
 
Back
Top Bottom