Secretary Pompeo: Marekani haitarudi nyuma juu ya uamuzi wa kuiondolea ufadhili WHO

Secretary Pompeo: Marekani haitarudi nyuma juu ya uamuzi wa kuiondolea ufadhili WHO

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bwana Pompeo amesema Marekani inaweza sisirudi nyuma juu ya uamuzi wake wa kuiondolea ufadhili WHO.

Pompeo anasema haoni sababu ya kutumia pesa za umma kufadhili WHO, shirika ambalo limeshindwa kuzuia usambaaji wa virus vya corona na shirika ambalo limekua laini sana juu ya China.

Pompeo anasema serikali ya Marekani hailiamini tena shirika la WHO na kuanzia sasa watatafta washiriki binafsi na taasisi za kiraia kutoa ufadhili na sio WHO.

Mkuu wa taasisi ya USAID amemuunga mkono Pompeo na kusema sasa watashirikiana kutumia NGOs na sio WHO.

Pompeo says U.S. may never restore WHO funds after cutoff over pandemic
 
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bwana Pompeo amesema Marekani inaweza sisirudi nyuma juu ya uamuzi wake wa kuiondolea ufadhili WHO.

Pompeo anasema haoni sababu ya kutumia pesa za umma kufadhili WHO, shirika ambalo limeshindwa kuzuia usambaaji wa virus vya corona na shirika ambalo limekua laini sana juu ya China.

Pompeo anasema serikali ya Marekani hailiamini tena shirika la WHO na kuanzia sasa watatafta washiriki binafsi na taasisi za kiraia kutoa ufadhili na sio WHO.

Mkuu wa taasisi ya USAID amemuunga mkono Pompeo na kusema sasa watashirikiana kutumia NGOs na sio WHO.
Pompeo says U.S. may never restore WHO funds after cutoff over pandemic
CORONA NGOs sasa kuanzishwa badala ya zile za UKIMWI
 
subiri mjomba magu aisikie hii yeye atatoa 1,000,000,000 USD ninamjua Raisi wangu
 
Kuna faida gani kuchangia kwenye mashirika kama hayo W.H.O, Na wasiochangia wanapata hasara gani ?

Kwa kutoa pesa nyingi imepata faida gani na W.H.O, Marekani wanazo taasisi zao kama NHI na CDC mbona wanafanya vizuri tu, kwanini wanaipa pesa W.H.O?!
 
Back
Top Bottom