Jamani hizi ofisi zetu zenye uhusiano na serikali zinaajiri watu ambao ni incompetent kabisa, wananchi tunaichukia nchi yetu kwa ajili ya mambo haya. Hebu siku moja jitolee tu uende pale Law School of Tanzania Offices, Ubungo Plaza, umsalimu yule binti (yuko mmoja tu) wa reception kwa ukarimu, kisha pia umwulize swali lolote tu kwa ukarimu pia, kisha uone jibu utakalopokea! Kisha ujiulize kama unaishi katika nchi gani.