Jamani hizi ofisi zetu zenye uhusiano na serikali zinaajiri watu ambao ni incompetent kabisa, wananchi tunaichukia nchi yetu kwa ajili ya mambo haya. Hebu siku moja jitolee tu uende pale Law School of Tanzania Offices, Ubungo Plaza, umsalimu yule binti (yuko mmoja tu) wa reception kwa ukarimu, kisha pia umwulize swali lolote tu kwa ukarimu pia, kisha uone jibu utakalopokea! Kisha ujiulize kama unaishi katika nchi gani.
Wakenya wataendelea kuchukua ajira zenu mpaka mtakapojirekebisha..............
Nenda CRDB nako utashangaa tailor wa kike anakukalipia kinoma mpaka unashangaa hivi kwa nini umeweka pesa yako pale, ukichunguza utaambiwa boss flani anapumzika pale, so demu hana wasiwasi wa kupoteza ajira.
Ndo maana hatuendeleiiiii
kumbe wewe siyo mtanzania?::thinking:
Nenda CRDB nako utashangaa teller wa kike anakukalipia kinoma mpaka unashangaa hivi kwa nini umeweka pesa yako pale, ukichunguza utaambiwa boss flani anapumzika pale, so demu hana wasiwasi wa kupoteza ajira.
Ndo maana hatuendeleiiiii
lakini tatizo wengine wakienda katika hizo ofisi hawaheshimu watu hasa wa reception jamani watanzania tuna hilo tatizo la kutokuwa heshina kwa baadhi ya kada
lakini tatizo wengine wakienda katika hizo ofisi hawaheshimu watu hasa wa reception jamani watanzania tuna hilo tatizo la kutokuwa heshina kwa baadhi ya kada