Security Officers

Bodyguard

Member
Joined
Jul 2, 2012
Posts
27
Reaction score
2
Kampuni mpya ya Ulinzi, Usalama na Inteligensia inakaribisha maombi ya watu wachache wenye sifa zifuatazo:

1. Jinsia: Kiume na Kike
2. Umri: Miaka kati ya 20 na 30
3. Elimu: Kuanzia Form IV na Kuendelea:
4. Lugha: Kiingereza na Kiswahili
5. Tabia: Jasiri na mwenye tabia njema na asiye na record yeyote ya uhalifu (Police Clearance Certificate itatakiwa).


Kazi zilizopo:

1. Static Security Officers
2. Incident Response Guards
3. Bodyguards - Waliopitia mafunzio ya ukakamavu kama Karate watapewa kipau mbele
4. Intelligence & Investigation Officers - Walio na Elimu ya Juu
5. Training in Range & Weapon Services
7. Security Consultancy Services
8. Security Communications

Tuma maombi yako na CV kwa firstresponsebrigade@gmail.com
 
Interview zitaanza rasmi tarehe 16 Julai 2012
 
Katika areas hizi ni watu gani mnawatarget?:

3. Bodyguards - Waliopitia mafunzio ya ukakamavu kama Karate watapewa kipau mbele
4. Intelligence & Investigation Officers - Walio na Elimu ya Juu
5. Training in Range & Weapon Services
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…