likat
Member
- Feb 19, 2013
- 40
- 32
Nina refinery ndogo ambayo ina uwezo kufanya refining mafuta ya kupikia kama alizeti, soya, mawese nk na kuyaboresha zaidi katika viwango vilivyoidhinishwa na TBS.
Nipo Mbeya na mwekezaji itakuwa vizuri naye akiwepo Mbeya. Refining ina uwezo wa kuzalisha lita 2000 kwa siku au tani 1.7 au ndoo 100 za lita 20/ mapipa 10 ya mafuta.
Nipo Mbeya na mwekezaji itakuwa vizuri naye akiwepo Mbeya. Refining ina uwezo wa kuzalisha lita 2000 kwa siku au tani 1.7 au ndoo 100 za lita 20/ mapipa 10 ya mafuta.