Mimi nipoHiyo sio biashara ya kuulizia humu, fanya tafiti mwenyewe.....wauza mchele hawapo JF....hata mmoja.
Ndio mkuu nipo mbeyaUpo mbeya boss
Mchele super grade one Bei gani? Mchele wa Kyela?Ukitaji mchele na maharage kutoka Mbeya kwa bei nafuu nicheck
Frame Economy, hatari sanaZa jion wana jamii,
Naimani mko powa wote
Naombeni ushauri kidg kuhus location nahitaj kufungua biashara ya nafaka. Sasa ningependa kujua sehemu imbayo inamzunguko mkubwa wa watu na ambayo biashara hii itafit
NB: kwa sasa nataka kuanza rejareja ila mbeleni nitauza na jumla kutegemeana na mwenendo wa wateja.
Msaada wenu tafazari wana jamii. Sina mteja hata mmoja nategemea location inibebe katka kuanza biashara hiii
Mbona wapo wengi tu!Hiyo sio biashara ya kuulizia humu, fanya tafiti mwenyewe.....wauza mchele hawapo JF....hata mmoja.
Kwanini boss hasa wafanye biashara gani bila fremuFrame Economy, hatari sana