David Goliath
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 949
- 1,878
Kama uko chato kweli tupia kapicha umelalia JiweHabari wakuu
Nimeingia chato jioni ya leo,Mie mgeni kidogo nitakuwa huku kwa siku mbili Tatu.
Wenyeji wa chato waliomo humu, sehemu gani nzuri Za kujidai na kuenjoy au beach gani nzuri.
Mabanzini bar. Ama mtaa wa kirabuni ukapate kila kitu
Nenda pale kwenye kaburi lake utamwona meko yuko anavuta shishaHabari wakuu
Nimeingia chato jioni ya leo,Mie mgeni kidogo nitakuwa huku kwa siku mbili Tatu.
Wenyeji wa chato waliomo humu, sehemu gani nzuri Za kujidai na kuenjoy au beach gani nzuri.
Umeenda na ndege? Nataka kujua kama uwanja unatumika ama laHabari wakuu
Nimeingia chato jioni ya leo,Mie mgeni kidogo nitakuwa huku kwa siku mbili Tatu.
Wenyeji wa chato waliomo humu, sehemu gani nzuri Za kujidai na kuenjoy au beach gani nzuri.
Mungu anakuonaKuna viwanja vya makaburi uliza. wakuoneshe ukajidai