rechungura1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 387
- 129
Hi JF members,
Naomba mnijuze sehemu ambayo naweza kupeleka business idea yangu na nkapata funds.......
Sehemu hiyo naomba iwe tofauti na benki kwa sababu sina mali ya kuchukulia mkopo. I have a lot of project in software industry but nashindwa kunyanyuka kwa sababu ya finance .
Ntashukuru endapo ombi langu litakubaliwa
Naomba mnijuze sehemu ambayo naweza kupeleka business idea yangu na nkapata funds.......
Sehemu hiyo naomba iwe tofauti na benki kwa sababu sina mali ya kuchukulia mkopo. I have a lot of project in software industry but nashindwa kunyanyuka kwa sababu ya finance .
Ntashukuru endapo ombi langu litakubaliwa