Sehemu hatari kuishi ni uswahilini na kijijini.

Sehemu hatari kuishi ni uswahilini na kijijini.

Wauzaji wa containers

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
615
Reaction score
1,443
Kuishi kijijini - ukikaa kijijini kufanikiwa maisha kiasi cha kummiliki mali ni ngumu Sana hii ni kwasababu zifuatazo.

-Uzinzi
-Pombe
-Ukosefu wa maarifa.
-Kukaa na watu wenye mawazo duni

-fixed mindset and conservative.

Kijijini ndo sehemu ambayo unakuta mtu anayeitwa tajiri ni mchafu Sana ila anamiliki mifugo mingi Ila analala sehemu chafu.


Kijijini ukiwa Mwalimu wewe unaitwa tajiri hivyo waalimu wengi ambao wako vijijini wamedumaa kimawazo , kiakili na kuamini wamefanikiwa maana maazingira yamewatoa mchezoni.



Ngono - vijijini watu hufanya Sana ngono hivyo hii inapelekea watu kuzaliana sana na mwisho Kuwa na watu wengi wasio na tija.


Elimu -kijijini elimu sio kipaumbele

Mfanikio -kijijini mafanikio sio kipaumbele pia.

Pia USWAHILINI

Sehemu nyingine ukiishi kutoboa ni ngumu ni uswahilini .

Uswahilini jamii kubwa inaamini ushirikina kitu ambacho watu wanaacha kuwa responsible na maisha yao.


Umalaya - ngono zembe ambayo imepelekea kuwa na idadi ya single mother kila nyumba.

Bangi - hii imepelekea kuwa na idadi kubwa ya vijana wasio na maono.

Pombe - hii imepelekea vifo kwa vijana na kuua afya zao (sungura)


Hivyo kijijini na uswahilini ili uishi maeneo haya na ufanikiwe lazima ujitenge na jamii na uwe focused na MAISHA yako

Kijijini na uswahilini ni sehemu ambazo zinafaa kuwekeza na sio kuishi au kulelea familia yako.
 
Vijijini ndo sehemu nzuri ya kuishi, kikubwa uwe na elimu
Kijijini Kuna
Hewa safi
Chakula
Kuwekeza
Kufuga


Tatizo la njaa lipotokea kijijini ndo huwa wanakuwa wa kwanza kuomba chakula na kulalamika Kuwa wana njaa.

Nadhani ukosefu wa Elimu ni tatizo au kutojitambua ndo tatizo .

Ikiwa MTU anavuna mpunga na mahindi Ila ikitokea msimu mmoja asipopata mavuno na yeye analia kuhusu njaa. Maana yake hana uwezo wa kuweka AKIBA ya chakula chake mwemyewe.
 
Tatizo la njaa lipotokea kijijini ndo huwa wanakuwa wa kwanza kuomba chakula na kulalamika Kuwa wana njaa.

Nadhani ukosefu wa Elimu ni tatizo au kutojitambua ndo tatizo .

Ikiwa MTU anavuna mpunga na mahindi Ila ikitokea msimu mmoja asipopata mavuno na yeye analia kuhusu njaa. Maana yake hana uwezo wa kuweka AKIBA ya chakula chake mwemyewe.
Hakika mkuu
Ila Kwa Sasa vijijini kama mjini tu pesa ipo tu
 
Tatizo la njaa lipotokea kijijini ndo huwa wanakuwa wa kwanza kuomba chakula na kulalamika Kuwa wana njaa.

Nadhani ukosefu wa Elimu ni tatizo au kutojitambua ndo tatizo .

Ikiwa MTU anavuna mpunga na mahindi Ila ikitokea msimu mmoja asipopata mavuno na yeye analia kuhusu njaa. Maana yake hana uwezo wa kuweka AKIBA ya chakula chake mwemyewe.
Mkuu naunga mkono hoja..
 
Kuishi kijijini - ukikaa kijijini kufanikiwa maisha kiasi cha kummiliki mali ni ngumu Sana hii ni kwasababu zifuatazo.

-Uzinzi
-Pombe
-Ukosefu wa maarifa.
-Kukaa na watu wenye mawazo duni

-fixed mindset and conservative.

Kijijini ndo sehemu ambayo unakuta mtu anayeitwa tajiri ni mchafu Sana ila anamiliki mifugo mingi Ila analala sehemu chafu.


Kijijini ukiwa Mwalimu wewe unaitwa tajiri hivyo waalimu wengi ambao wako vijijini wamedumaa kimawazo , kiakili na kuamini wamefanikiwa maana maazingira yamewatoa mchezoni.



Ngono - vijijini watu hufanya Sana ngono hivyo hii inapelekea watu kuzaliana sana na mwisho Kuwa na watu wengi wasio na tija.


Elimu -kijijini elimu sio kipaumbele

Mfanikio -kijijini mafanikio sio kipaumbele pia.

Pia USWAHILINI

Sehemu nyingine ukiishi kutoboa ni ngumu ni uswahilini .

Uswahilini jamii kubwa inaamini ushirikina kitu ambacho watu wanaacha kuwa responsible na maisha yao.


Umalaya - ngono zembe ambayo imepelekea kuwa na idadi ya single mother kila nyumba.

Bangi - hii imepelekea kuwa na idadi kubwa ya vijana wasio na maono.

Pombe - hii imepelekea vifo kwa vijana na kuua afya zao (sungura)


Hivyo kijijini na uswahilini ili uishi maeneo haya na ufanikiwe lazima ujitenge na jamii na uwe focused na MAISHA yako

Kijijini na uswahilini ni sehemu ambazo zinafaa kuwekeza na sio kuishi au kulelea familia yako.
Inategemea na aina ya Vijiji vyenyewe na mahali vilipo hivyo Vijiji, na aina ya nchi husika jinsi ilivyo.
Mathalani, Mimi binafsi nimewahi kuishi kwenye maeneo ya Vijijini kwenye nchi fulani hivi (nisingependa kuitaja Jina), kwa hakika kwenye Vijiji hivyo maisha ni mazuri Sana, yaani huwezi kuamini kwamba ubora wa maisha uliopo kwenye maeneo hayo ni ya kiwango hicho nikichoshuhudia. Hata nilipopata uhamisho wa kwenda kuishi katika mji mwingine ambao ni mkubwa sana kwenye nchi hiyo (yenye idadi kubwa ya Watu, takribani Watu Milioni 17) nilihuzunika Sana, kwani nilikuwa nafurahia Sana maisha kwenye maeneo hayo ya vijijini.
Vijiji vingi vya kwenye hizi nchi zetu za ki-Afrika ndio naona ni tatizo, but unlike to the village life in other civilized countries.
 
Back
Top Bottom