sehemu nzuri ya kufungua play station

sehemu nzuri ya kufungua play station

Mangunja

Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
24
Reaction score
4
habari zenu wana jf, naombeni ushauri wenu juu ya sehemu nzuri inayofaa nataka nifungue play station, watoto hata vijana waje wacheze game, nipo dar es salaam, hata kama kuna anaye pangisha frem sehemu inayofaa kwa mradi huo tuwasiliane.. Mtaji wangu ni milioni moja,, ushauri zaidi kuhusu biashara hiyo nauhitaji pia,,
 
habari zenu wana jf, naombeni ushauri wenu juu ya sehemu nzuri inayofaa nataka nifungue play station, watoto hata vijana waje wacheze game, nipo dar es salaam, hata kama kuna anaye pangisha frem sehemu inayofaa kwa mradi huo tuwasiliane.. Mtaji wangu ni milioni moja,, ushauri zaidi kuhusu biashara hiyo nauhitaji pia,,

Mm nipo Kinondoni nina fremu nicheck through 0712 975329 tujue tunafanyajee...
 
Back
Top Bottom