Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo kwangu nikunyweshe wine [emoji485]Nina siku kadhaa hapa Moro ,si mwenyeji saaana,naomba wenyeji wanielekeze sehemu ya kutoka out na kutuliza mawazo ili kesho niwe na ari ya kupokea form za maombi ya sensa na kuzisaini pale ofisini
Msamvu kwa sasa:Mtendaji
Ngoja nije hapo morena tupate breakfast kwanza alafu mengine yatafuataNina siku kadhaa hapa Moro ,si mwenyeji saaana,naomba wenyeji wanielekeze sehemu ya kutoka out na kutuliza mawazo ili kesho niwe na ari ya kupokea form za maombi ya sensa na kuzisaini pale ofisini
Msamvu kwa sasa:Mtendaji
Tafuta tu sehemu nzuri kaa na kinywaji chako pendwa ikibidi pumzika kabisa room, kwenda dar barabarani changamoto nyingiSana au niende Dar nirudi jioni
Hutaki kutuliza mawazo Tena?Kanisani tena
Njoo hapa Majumba ya Mawe utulie huku ukila choma ya NoahNina siku kadhaa hapa Moro ,si mwenyeji saaana,naomba wenyeji wanielekeze sehemu ya kutoka out na kutuliza mawazo ili kesho niwe na ari ya kupokea form za maombi ya sensa na kuzisaini pale ofisini
Msamvu kwa sasa:Mtendaji
Bado upo Moro nije nikutoe out?Mitaa gani ety
Njoo Terminal pub hapa ugonge supu ya mbuzi then uendelee na yajayoNina siku kadhaa hapa Moro ,si mwenyeji saaana,naomba wenyeji wanielekeze sehemu ya kutoka out na kutuliza mawazo ili kesho niwe na ari ya kupokea form za maombi ya sensa na kuzisaini pale ofisini
Msamvu kwa sasa:Mtendaji
Nenda Mzumbe chuo kuna Hotel inaitwa Lumumba Complex poa kichizi mapozeo kamakawaNjoo Terminal pub hapa ugonge supu ya mbuzi then uendelee na yajayo