Sehemu nzuri ya makazi Mwanza City

nadhani itakuwa ukienda nje ya jiji kidogo! kama Missungwi huko bei poa. Ila inachukua kama dkk 20 kuingia ndani ya jiji kama una usafiri wako. Vinginevyo Nyegezi, Igoma, Nyasaka au maeneo ya Igombe au vuka Kamanga Ferry utapata sehemu nzuri lakini umeme haupo.
 
Kajenge bwiru pako powa sanaaa..mie napakubari
 
Hata mimi Nahitaji kuwa na kiwanja nasikia Mwanza ni Pazuri
 

Kajenge bwiru pako powa sanaaa..mie napakubari

Asanteni sana wadau. APPRECIATE 😛oa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…