Madam Ritha Massawe
Senior Member
- Sep 25, 2021
- 152
- 141
Okay Mkuu post iko edited now with all informations and for more details kindly call us or visit our office at noble center 15 floor hapa victoria near makumbushoOngezea nyama kidogo
ni vifaranga wa aina gani
Gharama za kusafirisha vifaranga anabeba nani?( Nnje ya mkoa wa Dar)AINA YA VIFARANGA VINAVYOPATIKANA HAPA S&Q NIKAMA IFUATAVYO
1.VIFARANGA VYA KUKU WA MAYAI -BRAND NI HY-LNE- MIEZI 4- WANATAGA..BOX 280,000 WANAKAA 100
2.VIFARANGA VYA KUKU WA NYAMA - BRAND ZIKO MBILI ROSE WA MWEZI MMOJA...PRICE CHANGES
PIA KUNA BRAND YA BROILER TS.900 HAWA NI CHOTALA MIEZI MIWILI TU TANZANIA WANAPATIKANA KWETU TU...PRICE 130,000 WANAKAA 100 KWENYE BOX
3.PIA TUNA VIJOGOO KWA BEI RAHISI TU BOX 12000 WANAKAA 100
KWA MAELEZO CALL ME 0781-647066 MADAM RITHA NIKUHUDUMIE ...PIA TUNAKALIBISHA AGENT TUNAFANYA NAO SANA KAZI
View attachment 3175597
View attachment 3175600
View attachment 3175601
habari Jeryy hapa sasa hua inategemea na idadi ya box za vifaranga kama ninyingi we can consider offer transport to his area , ila kama ni chache hili ni juu ya mteja sisi tutambebe kutoka kiwandani hadi sehemu ya distribution which is at center hapa DarGharama za kusafirisha vifaranga anabeba nani?( Nnje ya mkoa wa Dar)
Wewe ama mnunuzi?
NaamAINA YA VIFARANGA VINAVYOPATIKANA HAPA S&Q NIKAMA IFUATAVYO
1.VIFARANGA VYA KUKU WA MAYAI -BRAND NI HY-LNE- MIEZI 4- WANATAGA..BOX 280,000 WANAKAA 100
2.VIFARANGA VYA KUKU WA NYAMA - BRAND ZIKO MBILI ROSE WA MWEZI MMOJA...PRICE CHANGES
PIA KUNA BRAND YA BROILER TS.900 HAWA NI CHOTALA MIEZI MIWILI TU TANZANIA WANAPATIKANA KWETU TU...PRICE 130,000 WANAKAA 100 KWENYE BOX
3.PIA TUNA VIJOGOO KWA BEI RAHISI TU BOX 12000 WANAKAA 100
KWA MAELEZO CALL ME 0781-647066 MADAM RITHA NIKUHUDUMIE ...PIA TUNAKALIBISHA AGENT TUNAFANYA NAO SANA KAZI
View attachment 3175597
View attachment 3175600
View attachment 3175601
lugha gongana, jitahidi kutumia lugha moja wengine unatuachahabari Jeryy hapa sasa hua inategemea na idadi ya box za vifaranga kama ninyingi we can consider offer transport to his area , ila kama ni chache hili ni juu ya mteja sisi tutambebe kutoka kiwandani hadi sehemu ya distribution which is at center hapa Dar
samahani nikutokana lugha tunazotumia pande mbili huwa tunapata changamoto ila kama ikitokea kunamahali waitaji ufafanuzi zaidi naomba piga or text whatsaap number hiyolugha gongana, jitahidi kutumia lugha moja wengine unatuacha
sawa madam, hongera kwa upambanajisamahani nikutokana lugha tunazotumia pande mbili huwa tunapata changamoto ila kama ikitokea kunamahali waitaji ufafanuzi zaidi naomba piga or text whatsaap number hiyo
Mawakala wenu wapo wai?habari Jeryy hapa sasa hua inategemea na idadi ya box za vifaranga kama ninyingi we can consider offer transport to his area , ila kama ni chache hili ni juu ya mteja sisi tutambebe kutoka kiwandani hadi sehemu ya distribution which is at center hapa Dar
ulikua unahitaji wakala wa mkoa gani boss wangu maana hapa mm nimtu wa makao makuu so kama uko mkoa unawezanijua ila wakala wapo wengi tupo na agent (kama Oneoneanimalfeed) hawa wako na vyakula pia huuza vifaranga kutokea company yetu ,,,Mawakala wenu wapo wai?
Nipo mwananyamala A, nyuma kidogo ya Ofisi yenu.ulikua unahitaji wakala wa mkoa gani boss wangu maana hapa mm nimtu wa makao makuu so kama uko mkoa unawezanijua ila wakala wapo wengi tupo na agent (kama Oneoneanimalfeed) hawa wako na vyakula pia huuza vifaranga kutokea company yetu ,,,
kalibu tufanye biasharaNipo mwananyamala A, nyuma kidogo ya Ofisi yenu.
hahaha ata ww unaweza wapa chanJo sio lazima nursesHao ni nurses wa kuku mbona wote wameshika sindano?
Je, Hivyo vijogoo vina mature baada ya muda gani?AINA YA VIFARANGA VINAVYOPATIKANA HAPA S&Q NIKAMA IFUATAVYO
1.VIFARANGA VYA KUKU WA MAYAI -BRAND NI HY-LNE- MIEZI 4- WANATAGA..BOX 280,000 WANAKAA 100
2.VIFARANGA VYA KUKU WA NYAMA - BRAND ZIKO MBILI ROSE WA MWEZI MMOJA...PRICE CHANGES
PIA KUNA BRAND YA BROILER TS.900 HAWA NI CHOTALA MIEZI MIWILI TU TANZANIA WANAPATIKANA KWETU TU...PRICE 130,000 WANAKAA 100 KWENYE BOX
3.PIA TUNA VIJOGOO KWA BEI RAHISI TU BOX 12000 WANAKAA 100
KWA MAELEZO CALL ME 0781-647066 MADAM RITHA NIKUHUDUMIE ...PIA TUNAKALIBISHA AGENT TUNAFANYA NAO SANA KAZI
View attachment 3175597
View attachment 3175600
View attachment 3175601
unaweza kuanza kuwatoa kuanzia miez minneHao ni nurses wa kuku mbona wote wameshika sindano?