Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Sehemu wanazopendelea
Kukaa majini.
Ikumbukwe kuwa majini walipopigwa na
kufukuzwa,hawakuzuiwa kuendelea kuishi katika
mgongo wa ardhi,Laa hasha! Bali walitawanywa na
kuzuiwa kuishi katika mkusanyiko, yaani jamii ya
pamoja ( mfano wa binadamu tunavyoishi) ila
waliendelea kuishi katika mgongo wa ardhi,
hivyo
na kufanya maeneo wanayopendelea kukaa
kutofautiana na jamii ya majini. Mfano, mashetani wanapendelea kukaa
chooni,majalalani,njia panda,chini ya miti n.k
Nguvu za majini
Licha ya majini kuaminika kuwa viumbe wenye
nguvu na kuogopeka kwa baadhi ya watu,lakini
ukweli ni kuwa ,hata wao majini wanatofautiana
nguvu ambapo kuna wenye nguvu kubwa na
wajanja(wataalamu) kuliko wengine
Nguvu inaweza kuhusishwa na jamii ya
majini,mfano jamii ya majini wanaoishi angani huwa
na nguvu kubwa kuliko jamii nyingine yoyote ya
majini.
Majini kama subiani,Ruhani,na Ifriti ni majini
wajanja kuliko majini wote,na hawa wote ni
miongoni mwa jamii ya majini wa anga.
Kwa mfano, tunaweza kuona uwezo wao wakati
wa mfalme/Nabii suleimani/solomoni ambapo majini
hawa ndio waliomuahidi mfalme suleimani kuleta kiti
cha enzi cha mfalme Balqis aliyekuwa akitawala na
kuwataka watu wamuabudu.
Vyakula vya majini
Kulingana na maandiko ya vitabu vitakatifu vya
dini,tunaoneshwa kuwa viumbe pekee ambao hawali
ni malaika tu.
Hii inatuthibitiashia kuwa majini si
miongoni mwa viumbe ambao hawali kama
inavyoaminika kwa baadhi ya watu.
Bali majini nao
wanakula ,vyakula vyao hutofautiana kama ilivyo
kwa binadamu.
Utofauti huo unasababishwa na
makabila yao,matabaka,maeneo wanayoishi,sifa
zao
Mfano ,majini wenye sifa nzuri(yaani maruhani),
hawa hula vyakula vizuri na vya halali kuliwa.
Lakini
majini machafu kama mashetani hawa hula damu
za wanyama ,damu za watu
waliokufa ,mizoga ,vyakula vya majalalani n.k
Mfano ni swala la kawaida kwenda kwa mganga
kisha ukaambiwa ulete mbuzi ,au kiungo cha mtu ili
kitumike kama kafara.
Basi hicho ulichoagizwa ni
chakula cha mashetani wa kijini
NGUVU ZOTE ZA ASILI ASILIMIA 💯 ZIMEMILIKIWA NA MUNGU ..
Kukaa majini.
Ikumbukwe kuwa majini walipopigwa na
kufukuzwa,hawakuzuiwa kuendelea kuishi katika
mgongo wa ardhi,Laa hasha! Bali walitawanywa na
kuzuiwa kuishi katika mkusanyiko, yaani jamii ya
pamoja ( mfano wa binadamu tunavyoishi) ila
waliendelea kuishi katika mgongo wa ardhi,
hivyo
na kufanya maeneo wanayopendelea kukaa
kutofautiana na jamii ya majini. Mfano, mashetani wanapendelea kukaa
chooni,majalalani,njia panda,chini ya miti n.k
Nguvu za majini
Licha ya majini kuaminika kuwa viumbe wenye
nguvu na kuogopeka kwa baadhi ya watu,lakini
ukweli ni kuwa ,hata wao majini wanatofautiana
nguvu ambapo kuna wenye nguvu kubwa na
wajanja(wataalamu) kuliko wengine
Nguvu inaweza kuhusishwa na jamii ya
majini,mfano jamii ya majini wanaoishi angani huwa
na nguvu kubwa kuliko jamii nyingine yoyote ya
majini.
Majini kama subiani,Ruhani,na Ifriti ni majini
wajanja kuliko majini wote,na hawa wote ni
miongoni mwa jamii ya majini wa anga.
Kwa mfano, tunaweza kuona uwezo wao wakati
wa mfalme/Nabii suleimani/solomoni ambapo majini
hawa ndio waliomuahidi mfalme suleimani kuleta kiti
cha enzi cha mfalme Balqis aliyekuwa akitawala na
kuwataka watu wamuabudu.
Vyakula vya majini
Kulingana na maandiko ya vitabu vitakatifu vya
dini,tunaoneshwa kuwa viumbe pekee ambao hawali
ni malaika tu.
Hii inatuthibitiashia kuwa majini si
miongoni mwa viumbe ambao hawali kama
inavyoaminika kwa baadhi ya watu.
Bali majini nao
wanakula ,vyakula vyao hutofautiana kama ilivyo
kwa binadamu.
Utofauti huo unasababishwa na
makabila yao,matabaka,maeneo wanayoishi,sifa
zao
Mfano ,majini wenye sifa nzuri(yaani maruhani),
hawa hula vyakula vizuri na vya halali kuliwa.
Lakini
majini machafu kama mashetani hawa hula damu
za wanyama ,damu za watu
waliokufa ,mizoga ,vyakula vya majalalani n.k
Mfano ni swala la kawaida kwenda kwa mganga
kisha ukaambiwa ulete mbuzi ,au kiungo cha mtu ili
kitumike kama kafara.
Basi hicho ulichoagizwa ni
chakula cha mashetani wa kijini
NGUVU ZOTE ZA ASILI ASILIMIA 💯 ZIMEMILIKIWA NA MUNGU ..