DOKEZO Sehemu ya chakula Morogoro njia ya kwenda Iringa ni pachafu, ajabu mabasi yanaenda hapohapo

DOKEZO Sehemu ya chakula Morogoro njia ya kwenda Iringa ni pachafu, ajabu mabasi yanaenda hapohapo

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Sehemu ya kula wasafiri pale Morogoro Msamvu njia ya kwenda Iringa ni chafu, vyakula vinavyouzwa vimelala siku mbili, chips ni nyeusiii sijui ni mafuta au ndio tunauziwa vyakula vya kulala!

Na mabasi yote lazima yapite hapo, sasa tunajiuliza ni kwamba wana asilimia fulani kutoka kwa wamiliki wa eneo hilo au wanapata faida gani?

Maana sehemu za kula ni nyingi ila watu wa mabasi wameng’ang’ania hapo.

Kama vipi waeleweshwe ili mabasi yhame njia hiyo walivyowahama pale karibu na Cate Hotel au wawaambie wabadilishe ubora wa vyakula vyao waweke vyakula vizuri.

Yaani ukishuka pale unaweza kuishia kula ndizi na machungwa hali ni mbaya kwa sisi tunaosafiri mara kwa mara, hasa wakati huu ambapo kuna kipindupindu.
 
Kuboresha hizo sehemu ni muhimu kiafya ila kama unaweza safiri bila kula njiani ni salama zaidi.
Usiombe tumbo lisumbue na upo katikati ya safari, sikia tu kwa wengine.
 
Ni lazima mle mkisafiri ?

Huwezi kushindia soda/maji/juice kwa massage 8,9,10 even 12 ?

Kula kula ovyo tu mivyakula isiyofaa
Taarifa aliyotoa ni mamlaka zisimamie ili kuona mazingira hayo machafu yawe masafi maana wapo wazazi wanasafiri na watoto wanahitaji chakula wakiwa safarini mara nyingi watoa taarifa sio wabinafsi wanazungumzia kwa ujumla wake..
Bara bara ya Dar/ Mbeya sehemu nyingi za chakula vya vyoo ni vichafu mno..
 
hivi kwanini wasiwe wanakula cate hotel! pale wanajielewa
 
Sehemu ya kula wasafiri pale Morogoro Msamvu njia ya kwenda Iringa ni chafu, vyakula vinavyouzwa vimelala siku mbili, chips ni nyeusiii sijui ni mafuta au ndio tunauziwa vyakula vya kulala!

Na mabasi yote lazima yapite hapo, sasa tunajiuliza ni kwamba wana asilimia fulani kutoka kwa wamiliki wa eneo hilo au wanapata faida gani?

Maana sehemu za kula ni nyingi ila watu wa mabasi wameng’ang’ania hapo.

Kama vipi waeleweshwe ili mabasi yhame njia hiyo walivyowahama pale karibu na Cate Hotel au wawaambie wabadilishe ubora wa vyakula vyao waweke vyakula vizuri.

Yaani ukishuka pale unaweza kuishia kula ndizi na machungwa hali ni mbaya kwa sisi tunaosafiri mara kwa mara, hasa wakati huu ambapo kuna kipindupindu.
Hoteli hiyo ni ya miaka mingi sana kiasi hata jengo limetitia na kuonekana fupi, cha ajabu ni vipi mamlaka inaruhusu gereji na hoteli vitumie eneo moja huku abiria wakikanyaga waya za kuchomea vyuma!
Hapa mabasi ya njia ya kuelekea Chalinze yakitoka stendi yanasimama hapo, na yanayokwenda njia ya Mikumi na Gairo yanasimama hapo kabla ya kuingia stendi.
 
Sehemu ya kula wasafiri pale Morogoro Msamvu njia ya kwenda Iringa ni chafu, vyakula vinavyouzwa vimelala siku mbili, chips ni nyeusiii sijui ni mafuta au ndio tunauziwa vyakula vya kulala!

Na mabasi yote lazima yapite hapo, sasa tunajiuliza ni kwamba wana asilimia fulani kutoka kwa wamiliki wa eneo hilo au wanapata faida gani?

Maana sehemu za kula ni nyingi ila watu wa mabasi wameng’ang’ania hapo.

Kama vipi waeleweshwe ili mabasi yhame njia hiyo walivyowahama pale karibu na Cate Hotel au wawaambie wabadilishe ubora wa vyakula vyao waweke vyakula vizuri.

Yaani ukishuka pale unaweza kuishia kula ndizi na machungwa hali ni mbaya kwa sisi tunaosafiri mara kwa mara, hasa wakati huu ambapo kuna kipindupindu.
Watu wa mikoa hiyo si ndivyo tulivyo?
Tunapewa sawa na sisi tulivyo!
Angalia hoteli za WAchagga , kuanzia Sehgera kwenda Arusha na Moshi!
Tukibadilika sisi na wao watabadilika.
 
Sehemu ya kula wasafiri pale Morogoro Msamvu njia ya kwenda Iringa ni chafu, vyakula vinavyouzwa vimelala siku mbili, chips ni nyeusiii sijui ni mafuta au ndio tunauziwa vyakula vya kulala!

Na mabasi yote lazima yapite hapo, sasa tunajiuliza ni kwamba wana asilimia fulani kutoka kwa wamiliki wa eneo hilo au wanapata faida gani?

Maana sehemu za kula ni nyingi ila watu wa mabasi wameng’ang’ania hapo.

Kama vipi waeleweshwe ili mabasi yhame njia hiyo walivyowahama pale karibu na Cate Hotel au wawaambie wabadilishe ubora wa vyakula vyao waweke vyakula vizuri.

Yaani ukishuka pale unaweza kuishia kula ndizi na machungwa hali ni mbaya kwa sisi tunaosafiri mara kwa mara, hasa wakati huu ambapo kuna kipindupindu.
Morogoro maji ni shida sana na ndicho chanzo cha taifodi Morogoro.
 
Jifunzeni kusema"hapana"kwa matumbo yenu.
Lielekeze tumbo lako kwamba mko safarini,litulie,litakuelewa tu.

Hata kama una safiri na watoto heri ubebe chakula tu,linapokuja swala la HELA,binaadam anaweza kukulisha hata mzoga wa fisi,ili achukue hela yako.

Hao dereva wa bus na konda wake,wana ofa ya msosi bure kila wakipeleka abiria hapo,hivyo mtapelekwa tu.
 
Sehemu ya kula wasafiri pale Morogoro Msamvu njia ya kwenda Iringa ni chafu, vyakula vinavyouzwa vimelala siku mbili, chips ni nyeusiii sijui ni mafuta au ndio tunauziwa vyakula vya kulala!

Na mabasi yote lazima yapite hapo, sasa tunajiuliza ni kwamba wana asilimia fulani kutoka kwa wamiliki wa eneo hilo au wanapata faida gani?

Maana sehemu za kula ni nyingi ila watu wa mabasi wameng’ang’ania hapo.

Kama vipi waeleweshwe ili mabasi yhame njia hiyo walivyowahama pale karibu na Cate Hotel au wawaambie wabadilishe ubora wa vyakula vyao waweke vyakula vizuri.

Yaani ukishuka pale unaweza kuishia kula ndizi na machungwa hali ni mbaya kwa sisi tunaosafiri mara kwa mara, hasa wakati huu ambapo kuna kipindupindu.
Ukweli BENE hotel ni pachafu kuanzia vyoo ,mazingira ya hotel hadi vyakula ni uchafu tupu.
 
Back
Top Bottom