sehemu ya kupeka application letters

wiseboy

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
2,930
Reaction score
3,305
hi watz wenzangu... naomba kuuliza, kuna sehemu niliwahi kusikia kwamba ukimaliza chuo kikuu unapeleka application zako na endapo kutapatikana vacancy watakuin4m. je ni wp? wanataka uambatanishe detail zipi? asanteni.
 
hi watz wenzangu... naomba kuuliza, kuna sehemu niliwahi kusikia kwamba ukimaliza chuo kikuu unapeleka application zako na endapo kutapatikana vacancy watakuin4m. je ni wp? wanataka uambatanishe detail zipi? asanteni.

Nenda Erolink na Radar recrutiment wanahitaji CV, then peleka vyeti vyako TEMESA, wapo Akiba ni wakala wa serikali wa kumtafutia mtu ajira
 
Recruitment agencies mbona ni nzuri sana watu wamepata ajira kupitia hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…