YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Hii ni sehemu tu ya reporti ya Building Bridge Intiative (BBI) iliyokabidhiwa kwa Raisi Uhuru Kenyatta katika kipengele cha jinsi ya kumaliza ukabila nchini Kenya
Mimi nawashauri kuwa wapige marufuku matumizi ya lugha za kikabila kwenye public places kama ofisi za serikali,mikutano ya hadhara,makanisani nk Pia wapige marufuku matumizi ya Lugha za kikabila media kama Radio,TV na Magazeti zitumike lugha za taifa tu
Ripoti yenyewe hii hapa hebu tuwashauri jirani zetu hawa kama kuna lolote la nyongeza au la kupunguza kama lipo
www.bbi.go.ke
Mimi nawashauri kuwa wapige marufuku matumizi ya lugha za kikabila kwenye public places kama ofisi za serikali,mikutano ya hadhara,makanisani nk Pia wapige marufuku matumizi ya Lugha za kikabila media kama Radio,TV na Magazeti zitumike lugha za taifa tu
Ripoti yenyewe hii hapa hebu tuwashauri jirani zetu hawa kama kuna lolote la nyongeza au la kupunguza kama lipo
@TheRealBBI
Building Bridges' initiative is a journey to accomplish Kenya’s dreams since its independence. Kenya continues to build towards becoming a great nation that is responsive to the urgent need for fairness, inclusivity, and prosperity for all her citizens. Kenya has achieved several milestones...
www.bbi.go.ke