KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
BREAKING NEWS
Taarifa zilizonifikia muda huu hapa zinaonesha kwamba Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto.
Moto unaonekana kutoka upande wa Eastern Bypass. Moto umeenea katika eneo la wazi karibu na njia ya kurukia ndege.
Vikosi vya dharura vipo eneo la tukio
Taarifa zilizonifikia muda huu hapa zinaonesha kwamba Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto.
Moto unaonekana kutoka upande wa Eastern Bypass. Moto umeenea katika eneo la wazi karibu na njia ya kurukia ndege.
Vikosi vya dharura vipo eneo la tukio