Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto.

Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto.

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
BREAKING NEWS

Taarifa zilizonifikia muda huu hapa zinaonesha kwamba Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto.

Moto unaonekana kutoka upande wa Eastern Bypass. Moto umeenea katika eneo la wazi karibu na njia ya kurukia ndege.

Vikosi vya dharura vipo eneo la tukio
 
Juzi tu hapo wamewapa waasi wa Sudan kuweka base yao!
 
BREAKING NEWS

Taarifa zilizonifikia muda huu hapa zinaonesha kwamba Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto.

Moto unaonekana kutoka upande wa Eastern Bypass. Moto umeenea katika eneo la wazi karibu na njia ya kurukia ndege.

Vikosi vya dharura vipo eneo la tukio
Wameshafanya yao tena
Hiyo ndiyo Afrika
 
IMG-20250222-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom