Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto.

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
BREAKING NEWS

Taarifa zilizonifikia muda huu hapa zinaonesha kwamba Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto.

Moto unaonekana kutoka upande wa Eastern Bypass. Moto umeenea katika eneo la wazi karibu na njia ya kurukia ndege.

Vikosi vya dharura vipo eneo la tukio
 
Juzi tu hapo wamewapa waasi wa Sudan kuweka base yao!
 
Wameshafanya yao tena
Hiyo ndiyo Afrika
 
Miaka kadhaa nyuma jengo la kupumzika abiria liliteketea
Huku kwetu waziri wa mambo hayo ya viwanja vya ndege kipindi hicho, aliulizwa na waandishi wa habari "umejifunza nini kutokana na kuungua uwanja wa JKIA" akawajibu "ukweli moto ni kiboko"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…