Sehemu za siri za maiti ya mama mjamzito na matumizi yake katika ulozi

Kanali mstaafu & company kwa elimu hii mliyonayo mnashindwaje kuifanya Tanzania kuwa taifa lenye nguvu za kiuchumi, kisiasa, kijeshi na kiteknolojia kama amerika au kuwazidi?
 
Kuna dereva bajaji mmoja ni msukuma aliwahi kunisisitiza kuwa Wasukuma ni wachawi sana.
 
Huo uke mliutoa kwa kiwango kipi kwasababu uke ni makubwa sana mlikataje?
 
Duh aisee mungu asadie tu wenye mimba wazae salama
 
Mkuu bila shaka wewe na shangazi yako mngeagizwa kumkata albino mkono mngemkata tu
 
Ulozi ni kuendekeza umaskini
Nilisha apa ni herinife na matatizo yangu sio kwenda kwa mganga.MUNGU anatosha

Hahahaha daaaah umenifanya nicheke kwasauti mkuu. alafu nipo kwenye kikao cha familia. wazee walisha nuna hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…