Sehemu za viungo vya mwili zinadunda mithiri ya mapigo ya moyo!

Sehemu za viungo vya mwili zinadunda mithiri ya mapigo ya moyo!

G M S

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
502
Reaction score
53
Huwa inatokea na kuacha na kurudia tena unakuta kwamfano mkononi au mguuni kunakuwa na sehemu inadunda ka mapigo ya moyo na mara nyingine kwa force iliyozidi kwa muda flani inaweza kuwa mara moja au kwa kurudiarudia hivi kitaalamu hili swala lipo vipi msaada plz!
 
Huenda unagusa sehemu ambapo kuna mishipa ya damu imepita ndani ya mwili kwenye viungo, mikononi na miguuni pia
 
Huwa inatokea na kuacha na kurudia tena unakuta kwamfano mkononi au mguuni kunakuwa na sehemu inadunda ka mapigo ya moyo na mara nyingine kwa force iliyozidi kwa muda flani inaweza kuwa mara moja au kwa kurudiarudia hivi kitaalamu hili swala lipo vipi msaada plz!
jaribu kuanglia thyroid hormones, fanya MRI,CT, ANA na mengineyo.
 
tofauti na nyinyi mimi nimeona kama mara mbili kwa ng'ombe akichinjwa basi sehemu fulani ya nyama inakuwa ikitikisika au sijui niseme ni kusisimka
 
Huenda unagusa sehemu ambapo kuna mishipa ya damu imepita ndani ya mwili kwenye viungo, mikononi na miguuni pia

hapana ni kwamba hiyo ni tofauti siyo kwamba unakoncentrate katika sehemu hyo no ni kwamba sehemu hyo inadunda na kushtua lazma utashtuka tu hali inapoanza kwan hata ukiweka mkono unapata mtikisiko.
 
Tunahitaji sababu ya kisayansi na sii ya upepo,
 
Back
Top Bottom