Elections 2015 Seif Sharrif Hammad apewe nafasi ya kugombea Urais kwa tiketi ya UKAWA 2020

Elections 2015 Seif Sharrif Hammad apewe nafasi ya kugombea Urais kwa tiketi ya UKAWA 2020

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kwa maoni yangu Seif Sharrif Hammad ni Mwanasiasa aliyeiva kisiasa haswa kwa upande wa Upinzani apewe nafasi na UKAWA kugombea uraisi wa Tanzania.Sababu pia anakubalika pande zote za muungano,jumuiya ya kimataifa , wafanyabiashara na watu wa kawaida na pesa ya kampeni anayo
 
Kwa maoni yangu Seif Sharrif Hammad ni Mwanasiasa aliyeiva kisiasa haswa kwa upande wa Upinzani apewe nafasi na UKAWA kugombea uraisi wa Tanzania.S sababu pia anakubalika pande zote za muungano
Kama ataweka mpunga mezani unao eleweka hilo halina tatizo ni swala dakika tu Mwenyekiti DJ anafanya yake Kama alivyofanya kwa maMvi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Seif Sharrif Hamad anakubalika kotekote kwa watu wa kawaida ,jumuiya ya wafanyabiashara na pesa anazo za kampeni

Huhitaji hata kura moja ya ZnZ kuwa rais wa Tanzania. Wenzako wamekuja na maelezo kibao lakini wameshindwa kututoa kwa Lissu. Lissu ndie anayefaa kwa hizi siasa za kishenzi za awamu ya 5. Lissu ndiye anayeweza kujenga hoja za kuondoa huu ukondoo wa watanzania kuendelea kuongozwa na ccm kwa mabavu. Jiandaeni kufanya mauaji ya halaiki maana hizo siasa za maridhiano tumeona hazina maana.
 
Mshaingiwa na mchecheto wa Lissu kuwatoa kamasi
Kwa maoni yangu Seif Sharrif Hammad ni Mwanasiasa aliyeiva kisiasa haswa kwa upande wa Upinzani apewe nafasi na UKAWA kugombea uraisi wa Tanzania.Sababu pia anakubalika pande zote za muungano,jumuiya ya kimataifa , wafanyabiashara na watu wa kawaida na pesa ya kampeni anayo

In God we Trust
 
Lissu ndiye atakaye watoa mafua safari hii pia lazima mfanye mdahalo
Seif Sharrif Hamad anakubalika kotekote kwa watu wa kawaida ,jumuiya ya wafanyabiashara , jumuiya ya kimataifa na pesa anazo za kampeni

In God we Trust
 
Upo sahihi kabisa
Huhitaji hata kura moja ya ZnZ kuwa rais wa Tanzania. Wenzako wamekuja na maelezo kibao lakini wameshindwa kututoa kwa Lissu. Lissu ndie anayefaa kwa hizi siasa za kishenzi za awamu ya 5. Lissu ndiye anayeweza kujenga hoja za kuondoa huu ukondoo wa watanzania kuendelea kuongozwa na ccm kwa mabavu. Jiandaeni kufanya mauaji ya halaiki maana hizo siasa za maridhiano tumeona hazina maana.

In God we Trust
 
Back
Top Bottom