Sekondari iliyopata mgawo wa ESCROW yaongoza

Wameiba na mtihani ili wapate socialempathy kwamba wako wanafanya kazi nzuri pamoja na tuhuma za scandal wanazopewa! Hivyo kufuatia matokeo hayo wasinyooshewe vidole kwa sana! Ni mkakati wa kupoza hasira za Wanan
chi!

Miaka yote wanafanya vizuri mbona?Hata wanafunzi wao ukiwaona wako vizuri vchwani ukiongea nao.
 


Fanya jitihada utembelee shule hyo siku moja, utaona usmart wao vichwani.Usiwe mtu wa majungu.Hata wewewe hauwezi katu uka-argue na mtoto wa Barbro ukammudu hata wa fomu 2.
 
Umekosea kuandika kichwa cha huu uzi ungeandika hivi Sekondari ya mpiga pesa za ESCROW Tibaijuka, imeongoza.

Baba yako mpaka sasa haamini kuwa amemfukuza kazi yule mama na dio maana anapata kigugumizi kuteua mrithi wake; hiyo inakuonesha kuwa nguvu ya umma ni kubwa zaidi unavyofikiria!! Kumbuka ulisema bungeni ukitokea kwenu Chalinze kuwa hakuna waziri ambaya angefukuzwa na kwa taarifa yako baba yako apende asipende Muhongo lazima ang'oke!! Kwavile nyie magamba ni wavivu wa kusoma sina hakika kama umesoma yanayotokea huko Sri Lanka ? Wenzenu wananyolewa na nyie tieni zenu maji!!
 
Hatimaye prof. Anna kajumulo tibaijuka mama msomi kabisa na mtetezi wa wanyonge na wanawake aenda kumkabidhi ofisi yake ya wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi ndg. Lukuvi mapema kabisa ili aendelee na kazi ya kuwahudumia wanyonge wananchi wake wa bukoba na wanawake wasioweza kupata elimu bora.

Hilo limejidhihirisha baada ya shule yake kuongoza kwa somo la hesabati nchi nzima nawaliofaulu ni watoto wa wanyonge waliopo lindimtwara rufiji na mafia.

Wangekua walofaulu sana wanatokabukoba watu wangezusha kuwa ni upendeleo tena watu wangezusha hilo ni walewale wabaya wake wasiowapenda watanzania wakifanikiwa kwa mafanikio aletayo prof. Huyu msomi mwenye sifa za kimataifa .
 
Kukabidhi ofisi ni ukomavu wa kisiasa, au wewe ndo unaendelea kukomaa akili, ni wajibu wake apende asipende
 
Kusema shule yake inasomesha maskini ni vichekesho, ada million 5, mtoto gani wa maskini anaweza kulipa kiasi hicho cha fedha?????
 
Sifa nyingine kweli shida,kukabidhi ofisi limekuwa jambo la ushujaa,sijui mleta uzi hajawi kuajiriwa,kukabizi ofisi ni sehemu ya wajibu wa yoyote anapoacha/achishwa kazi ,hiyo ni kanuni ya kazi na usipofanya hivyo utachukuliwa hatua za kisheria sababu hiyo ofisi sio yako.Mahaba yenu pelekeni Muleba sio kutuletea sifa za kijinga hapa JF.
 
Mtoa mada kusema kaonesha ushupavu wa kisiasa unakosea. Andika hivi "
[h=2]"Prof.anna kajumulo tibaijuka aonyesha kuwa ufisadi ni jambo la kawaida kwa kwenda kumkabidh ofis lukuvi leo saa6mc"[/h]
 
sio ushupavu, ni wajibu wake atoke ofisini na kumkabidhi anayestahili kukaa ofisini hapo.
 
I hope atashinda kwenye ubunge wake
 
Mbona hizo picha ulizotumia ni za zamani!!! Kama huna picha zinazoendana na tukio husika bora uandike hadith yako tu.kwani huyo mmasai ndio alikuwa naibu wake kabla hajatimuliwa?? Acha kupotosha hapa sio fb.Weka picha za tukio husika
 
Acha utoto hizi picha ni zamani wakati ole mideye ndio naibu wake!!! Hapa sio fb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…