Sekretari anahitajika

Sekretari anahitajika

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Tangazo la Nafasi ya Kazi

Anahitajika Secretary Mwenye ujuzi wa miaka isiyopungua miaka 3 kazini, Awe amesoma kwenye vyuo vinavyotambulika hapa Tanzania au nje.
Umri usiopungua miaka 35 na usiozid miaka 50
Eneo la kazi: Bagamoyo
Mshahara ni maelewano
Tuma CV yako kupitia sajocbc@gmail.com
0754827198 na 0657915822
Mwisho wa kupokea Maombi ni 23/04/2023 saa 4: Asubuhi
 
Back
Top Bottom