Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
kuna watu wamewekwa hapa wanaitetea sekeretariat ya ajira kwa udi na uvumba. Hiv kwel nafasi zilizotangazwa tokea mwez may mpaka leo kimya wanaita tu watendaji wa vijiji, tuwaelewe vp? Mtihani na jibu vitu viwil tofauti. Nahis harufu ya kujuana na rushwa. Jaman hii nch ni yetu sote, kwa mnapendelea ndugu zenu!