Sekretariet ya ajira kunani matokeo ya Walimu? Yamenikatisha tamaa baada ya walimu wakongwe kufeli mtihani wa Kiswahili

Sekretariet ya ajira kunani matokeo ya Walimu? Yamenikatisha tamaa baada ya walimu wakongwe kufeli mtihani wa Kiswahili

kingito

Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
10
Reaction score
3
Mimi ni mwalimu tarajali mwenzenu wa level ya IIIA, ila kwa matokeo ya kiswahili yamenikatisha tamaa sana, hasa baada ya kuona waalimu wanaofundisha secondary somo la kiswahili kwa miaka zaidi ya mitatu wamefeli.

Hii ikanifanya nifanye utafiti mdogo usio rasmi na nipo tayari kukosolewa kama sitakuwa sawa. Nimefanya kama ifuatavyo:-

:- mtihani ulikuwa na maswali 25 kwa maana ya kwamba kila swali lina marks 4. Hivyo kila marks inatakiwa igawanyike kwa 4. Kwa mfano aliyeongoza ana 88÷4=22, yaani alipata maswali 22.

Kama hivyo ndivyo, napata mashaka na mfumo wa ugawaji haki wa hawa wanaotufanyisha usaili, yaani nahisi hawasahishi hii mitihani, ila aidha kuna watu wamesecure nafasi zao tayari hivyo sisi wengine tunatumika kuwasindikiza tu, au wanacommand mfumo (excel) ufanye autosellecting kwa namna wanavyoset, hivyo kupelekea kufaulu iwe kama kamali.

Kielelezo no1, page 87/533 mtahiniwa no, 3810 amepata 63. ie 63÷4=15.75.
 

Attachments

  • IMG-20250128-WA0056.jpg
    IMG-20250128-WA0056.jpg
    83 KB · Views: 3
  • IMG-20250128-WA0046.jpg
    IMG-20250128-WA0046.jpg
    86.3 KB · Views: 3
Mimi ni mwalimu tarajali mwenzenu wa level ya IIIA, ila kwa matokeo ya kiswahili yamenikatisha tamaa sana, hasa baada ya kuona waalimu wanaofundisha secondary somo la kiswahili kwa miaka zaidi ya mitatu wamefeli.

Hii ikanifanya nifanye utafiti mdogo usiorasmi na nipo tayari kukosolewa kama sitakuwa sawa. Nimefanya kama ifuatavyo:-
:- mtihani ulikuwa na maswali 25 kwamaana yakwamba kila swali linamarks 4. Hivyo kila marks inatakiwa igawanyike kwa 4. Kwa mfano aliyeongoza ana 88÷4=22, yaani alipata maswali 22..
Kama hivyo ndivyo, napata mashaka na mfumo wa ugawaji haki wa hawa wanaotufanyisha usaili, yaani nahisi hawasahishi hii mitihani, ila aidha kuna watu wamesecure nafasi zao tayari hivyo sisi wengine tunatumika kuwasindikiza tu, au wanacommand mfumo (excel) ufanye autosellecting kwa namna wanavyoset, hivyo kupelekea kufaulu iwe kama kamali.

Kielelezo no1, page 87/533 mtahiniwa no, 3810 amepata 63. ie 63÷4=15.75.
Psrs ni matapeli kama matapeli mengine. Yanawaza perdiem tu hamna kingine. Ukiyaona yanavyohangaika na zoezi unaweza sema Hawa ndo utumishi Sasa, kumbe wapo pale kimaslahi tu. Shame on you Ma CCM na viunga vyenu. Mbwa nyie PSRS
 
Psrs ni matapeli kama matapeli mengine. Yanawaza perdiem tu hamna kingine. Ukiyaona yanavyohangaika na zoezi unaweza sema Hawa ndo utumishi Sasa, kumbe wapo pale kimaslahi tu. Shame on you Ma CCM na viunga vyenu. Mbwa nyie PSRS
Mkuu una una ushahidi
 
Psrs ni matapeli kama matapeli mengine. Yanawaza perdiem tu hamna kingine. Ukiyaona yanavyohangaika na zoezi unaweza sema Hawa ndo utumishi Sasa, kumbe wapo pale kimaslahi tu. Shame on you Ma CCM na viunga vyenu. Mbwa nyie PSRS
Sema vimeumana
 
Tafuteni connection ukisubiri kudra utachelewa sana
 
Psrs ni matapeli kama matapeli mengine. Yanawaza perdiem tu hamna kingine. Ukiyaona yanavyohangaika na zoezi unaweza sema Hawa ndo utumishi Sasa, kumbe wapo pale kimaslahi tu. Shame on you Ma CCM na viunga vyenu. Mbwa nyie PSRS
Wapuuzi hawa
Wanawapotezea walimu muda na gharama za usail kumbe wana watu wao tayari
 
Tuseme tu ukweli watanzania walio wengi wanateswa sana na mifumo ya hovyo iliyosetiwa na Ma CCM.
Sasa mtu anamiaka kumi unamfanyisha intavyuu atakumbuka ya darasani si ubaya huo. Watu wamewaacha tuu unaenda mpambanisha na aliyemaliza miezi mitatu au mwaka mmoja si kazi hiyo.
 
Fasihi ni sinia la biriani na pembeni kuna sharubati ya nanasi, jadili kwa kutumia mifano mitatu
 
Back
Top Bottom