Watanzania kuweni makini na kulalamika, sijui mnataka mfanyiwe zuri lipi? hawajamaa wanapotangaza kazi, wanapokea maombi kibao! nafasi tuseme wametangaza mbili, wanapokea maombi 600! wanachokifanya nikuchagua waombaji wenye sifa na kuwaita kwenye usahili! wanataita wote wenye minimum qualification ili kuondoa malalamiko ya kudai wanashortlist kwa upendeleo! wanataka kila mtu awe na nafasi sawa ya kushindana! Kama kati ya maombi 600 waliyopokea, watu 400 wanasifa, basi wataitwa wote! Na wanatoa mtihan wa mchujo ili kupata watu bora! kwenye mchujo huo uwa wanabakiza ratio ya 3:1, kila nafasi moja inagombaniwa na watu watatu! kwa mfano kama wanatakiwa watu 2 basi wanaoenda kwenye oral watakuwa ni 6 tu, wale waliofaulu juu kuliko wote! Jamaa wako fair, kama ilibidi wabaki watu 6 ila matokeo yakawa kawa ivi, nimepanga kutokana na max kubwa, 90 ,87,86,85,84,83,83,83,83,83,82 na kuendelea...basi watakaoienda oral ni 10! kwa kuwa wa sita wamefungana! na kama watatu tu ndo wamevuka 50, na wengine wakapata chini ya 50 basi watakao piga oral ni watatu tu mana serikali haichukui chini ya 50.
Nina iman tumeelewana! wanaita watu wengi ili kuwa na uwanja mpana wa kupata watu wazur! kitu cha maana ni kujiandaa vyema kabla ya kwenda kwenye writen interview! hachen kulalamika, vilaza nyie!!!