Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Nina mashhaka nabutendaji kazi wa hii sector ni kama imekosa watu wenye upeo wa mambo
Hivi kama unahitaji watu 100 kada x halafu wahitimu wa hio kada from 2015--2017 roughly ni 20,000 wewe kwenye tangazo unasema wote waaply hadi wahitimu wa 2023 ili iweje. ,wanakuja kuaaply watu 45,000. wakat wa 2015 wenye sifa ni ni 10,000+(wote wanaaply hadi 2023)
Baadla ya kuweka kigezo cha umri na mwaka wa kumaliza chuo ili kupunguza gharama za mchakato nabkufipisha muda
Leo mchakato wa ajira unachukua wastani wa miezi 5 kukamilika
Hivi kama unahitaji watu 100 kada x halafu wahitimu wa hio kada from 2015--2017 roughly ni 20,000 wewe kwenye tangazo unasema wote waaply hadi wahitimu wa 2023 ili iweje. ,wanakuja kuaaply watu 45,000. wakat wa 2015 wenye sifa ni ni 10,000+(wote wanaaply hadi 2023)
Baadla ya kuweka kigezo cha umri na mwaka wa kumaliza chuo ili kupunguza gharama za mchakato nabkufipisha muda
Leo mchakato wa ajira unachukua wastani wa miezi 5 kukamilika